Natafuta plot Arusha Njiro au Moshono

Natafuta plot Arusha Njiro au Moshono

maeneo yepi udongo hauhamishwi mkuu? tafadhali tusaidie
Nimejaribu sana kuelezea:
1.Tengeru
2. Shangarai
3. Kwa mrefu (Baraa)
UKANDA HUU NI WA KIJANI, hali ya hewa nzuri, maeneo mapana na maji ni mengi japo (tengeru kiasi flani maji yanasumbua kidogo)
Haya maeneo ni bora sana kwa mtu mwelewa.
1. Umeme
2. Barabara...hakuna msongamano wa magari, ndiyo barabara pekee Arusha yenye njia mbili..double road.

Umbali kwenda city centre:
1. Tengeru to town=13km
2. Shangarai to town=10km
3. Kwa mrefu to town=7km

Haya ndio mimi ninapendekeza kwa mtu mjanja. Enzi ya JK yalikuwa hayanunuliki
Bei ilikuwa juu but sasa hata 20m unapata eneo zuri tu
 
Nenda kwa Moromboo pametulia.
ila majina ya Arusha, vituko aise....mara kwa morombooo, mara muriet etc. kwa lafudhi yao ile wakiyataja hahahaha
 
kuna heka hapa karibu na chuo cha mandela bei 90 Million.... karibu kama una uhitaji...
 
una weza kuweka sheli kwakuwa kipo barabarani japo sio close sana na barabara ila ina faha kwa sheli...
 
una weza kuweka sheli kwakuwa kipo barabarani japo sio close sana na barabara ila ina faha kwa sheli...
nilikuwa nataka cha makazi mkuu. pia sheli si unajua kituo cha polisi kinatakiwa kuwa karibu, wenyewe wakiamua muda wowote wanaweza kufuata pesa zao na kama upo mbali na kituo kuna risk sana.
 
Kwa taarifa yako 30ml nusu heka huwezi pata kiwanja Njiro au Moshono. Njiro angalia uwe na 50ml. Nakushauri tafuta maeneo mengine kama kisongo. By the way Njiro na Moshono kuna shida ya upatikanaji wa maji sana
Mushono viwanja vinaendaje?
 
nilikuwa nataka cha makazi mkuu. pia sheli si unajua kituo cha polisi kinatakiwa kuwa karibu, wenyewe wakiamua muda wowote wanaweza kufuata pesa zao na kama upo mbali na kituo kuna risk sana.
sawa mkuu... ila ukiitaji na kama mtu ataitaji basi tuwasiliane mkuu ili tufanye biashara
 
Kilimanjaro Golf Estate ..kwa nyuma.. Eneo.linaitwa Zaire.. Jaribu huko.. Kuzuri sana. Japo bado kupya kupya. Nadhani hii ni kata ya maji ya chai
 
Kilimanjaro Golf Estate ..kwa nyuma.. Eneo.linaitwa Zaire.. Jaribu huko.. Kuzuri sana. Japo bado kupya kupya. Nadhani hii ni kata ya maji ya chai
 
Kwa taarifa yako 30ml nusu heka huwezi pata kiwanja Njiro au Moshono. Njiro angalia uwe na 50ml. Nakushauri tafuta maeneo mengine kama kisongo. By the way Njiro na Moshono kuna shida ya upatikanaji wa maji sana


Moshono IPI kunashida ya maji
 
Back
Top Bottom