Otorong'ong'o
JF-Expert Member
- Aug 17, 2011
- 38,900
- 28,015
Bei zinakuaje na ukubwaKilimanjaro Golf Estate ..kwa nyuma.. Eneo.linaitwa Zaire.. Jaribu huko.. Kuzuri sana. Japo bado kupya kupya. Nadhani hii ni kata ya maji ya chai
Bei zinakuaje na ukubwaKilimanjaro Golf Estate ..kwa nyuma.. Eneo.linaitwa Zaire.. Jaribu huko.. Kuzuri sana. Japo bado kupya kupya. Nadhani hii ni kata ya maji ya chai
Huu mradi ni Wa gated community..Bei zinakuaje na ukubwa
Huu mradi ni Wa gated community..
Kuna kama viwanja 33! Ukubwa ni kati ya 900-1300sqm..
Upo karibu na Maua Gate kili golf-(Air strip) barabara ya kwa ugoro.
Last year price per sqm ilikuwa 35$. Sijui kwa sasa. Nitapitia makabrasha nikupatie sales dep. contacts.
mkuu 20*25 kwa offer yako kipo moshono... maeneo ya st. monica kuelekea jeshini40*40
Mkuu kuhusu upatikanaji wa maji nakataa kabisa.mimi ni mzawa wa moshono sijawahi kuona tatizo katika upatikanaji wa majiKwa taarifa yako 30ml nusu heka huwezi pata kiwanja Njiro au Moshono. Njiro angalia uwe na 50ml. Nakushauri tafuta maeneo mengine kama kisongo. By the way Njiro na Moshono kuna shida ya upatikanaji wa maji sana
Mkuu nifate inbox nikupatie jamaa atakayekupa kiwanja kizuri moshono.ni wa uhakika na viwanja havina longolongoni sehemu ipi arusha ukijenga ni sehemu ya middle class, at least hakuna uswahili, kila mtu anajua yake? please watu wa arusha nisaidieni.
Usijali Kiongozi.. Hiyo ni landscaping plan.. Nimekosa viambata vyake.. Ila huo ukijani ni upande utakaopandwa miti na ni public property... Wanapanga kuwe miti, maua na shrubs planted.key mbona hamna... hizo ukijani pembezoni mwa cul de suc na barabara ni nini hizo? samahani lakini mkuu
Plus hiki nilitumiwa na mtengenezaji wa plan directly ..wakati anaifanyia kazikey mbona hamna... hizo ukijani pembezoni mwa cul de suc na barabara ni nini hizo? samahani lakini mkuu
Huko Safari city kuna kiwanja kinafika nusu ekari kweli?Nenda www.thesafaricity.com Matevez ni bonge la mji. Umeme upo maji yapo barabara za ndani zimechongwa na ulinzi upo. Barabara kubwa ya Afrika Mashariki kutoka Ngaramtoni hadi USA inapita ndani ya viwanja.
Viwanja vyote unapewa hati na sqmt 1=35,000. Nenda huko hutajutia pesa yako.
mwambie arekebishe hayo mapungufu mkuuPlus hiki nilitumiwa na mtengenezaji wa plan directly ..wakati anaifanyia kazi
kama ni miti ni lazima kuwe na nafasi kuonesha mwisho wa garden au buffer zone au kama ni open space... haitakiwi kushikana na viwanja, vikishikana kakutakuwa na kutokea kwa baadhi ya viwanja mkuu...Usijali Kiongozi.. Hiyo ni landscaping plan.. Nimekosa viambata vyake.. Ila huo ukijani ni upande utakaopandwa miti na ni public property... Wanapanga kuwe miti, maua na shrubs planted.
The 3d version ilikuwa more detailed na ilionesha vision way better. Sina tu picha yake.
Mkuu Hii ni Gated Community... Yote IPO ndani ya Fence.. The entire 12 acres zinajengewa uzio... With club house and play ground for kids.
Nimeelewa concern..nadhani kama ningekuwa na survey plan..ningekuonesha..zoote zimekuwa well defined kulingana na mahitaji ya mwenye plot.. Ila kuna space ndani ya hiyo buffer inayokuwa driveway kingia ndn ya plots. Kwenye survey imeoneshwa.. As is said earlier this was a concept drawing.. Ila ndiyo waliyoimplement mwishoni.kama ni miti ni lazima kuwe na nafasi kuonesha mwisho wa garden au buffer zone au kama ni open space... haitakiwi kushikana na viwanja, vikishikana kakutakuwa na kutokea kwa baadhi ya viwanja mkuu...
Nenda www.thesafaricity.com Matevez ni bonge la mji. Umeme upo maji yapo barabara za ndani zimechongwa na ulinzi upo. Barabara kubwa ya Afrika Mashariki kutoka Ngaramtoni hadi USA inapita ndani ya viwanja.
Viwanja vyote unapewa hati na sqmt 1=35,000. Nenda huko hutajutia pesa yako.
Ok nimekuelewa ndio maana mwanzo nikakuambia kungekuwa na key ingekuwa rahisi mno kuelezeka mkuu... ila nashukuru kwa maelezo yako....Mkuu Hii ni Gated Community... Yote IPO ndani ya Fence.. The entire 12 acres zinajengewa uzio... With club house and play ground for kids.
Kiwanja pekee kinachoweza kuwa accessed kutokea nje ni plot number 1 yenye matumizi ya biashara... Including an office building
Access ya viwanja vyote nikupitia gate moja.tu.
Usijali Kiongozi. Was an interesting exchange. Ni urban planner?!Ok nimekuelewa ndio maana mwanzo nikakuambia kungekuwa na key ingekuwa rahisi mno kuelezeka mkuu... ila nashukuru kwa maelezo yako....
yeah...Usijali Kiongozi. Was an interesting exchange. Ni urban planner?!