babilas25
JF-Expert Member
- Feb 10, 2014
- 471
- 333
Kutokana na uchache wa ajira uliopo nchi kwetu, nilitamani sana kupata partner ambae nitashirikiana nae kwenye ufugaji wa Samaki kwa kutumia vizimba, kitu pekee nlichonacho kama mtaji ni taluma ya ufugaji samaki.
Nahitaji mdau mwenye nia ya dhati asapoti kwenye utengenezaji wa vizimba na ununuzi wa vifaranga na chakula. Anayewiwa tukutane PM.
Au kwa mawasiliano +255764123459.
Update
Nimekua nikipigiwa simu na watu wakitaka kujua hatua za kupitia ili kuweza kumiliki kizimba.
Leo nitakueleza hatua kwa hatua na ghalama zake.
UFUGAJI SAMAKI KWA VIZIMBA
•Hatua na mambo mhimu ya kuzingatia.
1.Vibali vya uendashaji wa shuguli za ukuzaji viumbe hai majini
I)Mhutasari wa kikao cha serikali ya kijiji au mtaa ambapo mradi utafanyika.
II)TAFIRI- Kufanya survey kwenye eneo ambapo vizimba vitawekwa, kupima kina cha maji, ubora wa maji, mkondo wa maji, ukubwa mawimbi n.k. galama ni Tsh. 2,700,000/=
III)NEMC-Kufanya Environmental Impact Assessment, galama yao n 4,200,000/=
IV)Bonde la Ziwa Victoria- Kutoa kibali cha matumizi ya maji
V)Barua ya Afsa uvuvi wa eneo husika
VI) Kibari kutoka Wizara ya mifugo na uvuvi idara ya ukuzaji viumbe hai majini.
2.Kutengeneza kizimba na Kupanda vifaranga.
-Kizimba chenye urefu wa mita6, upana mita6 na kina cha mita6, kinaweza kubeba vifaranga 10,000.
-Galama za kutengeneza kizimba na kupanda vifaranga ni 6,500,00/=
3.Galama za vyakula
-Awamu ya kwanza 360kg(Starter) za chakula zitatumuka kwa miezi3.
-Awamu ya pili kilo 420kg(Glower) kwa mda wa miezi 2
-Awamu ya tatu ni kilo 300 kwa mda wa mwezi1
(Galama za chakula zinaweza kuongezeka au kupungua kutegemea na mwitikio wa ulaji wa samaki)
4.Galama ya usimamizi na ulinzi wa mradi (Ni makubaliano)
5.Mavuno; Kwenye kizimba cha ukubwa wa mita za eneo 36 kinaweza kubeba vifaranga mpaka 10,000, Matarajio ya kuvuna ni samaki 8500 mpaka 9000 ambao wanakadiliwa kuwa na uzito wa gram 400 mpaka 600
Wastani wa mavuno ni tani 2.5 kwa miezi 6.
Nahitaji mdau mwenye nia ya dhati asapoti kwenye utengenezaji wa vizimba na ununuzi wa vifaranga na chakula. Anayewiwa tukutane PM.
Au kwa mawasiliano +255764123459.
Update
Nimekua nikipigiwa simu na watu wakitaka kujua hatua za kupitia ili kuweza kumiliki kizimba.
Leo nitakueleza hatua kwa hatua na ghalama zake.
UFUGAJI SAMAKI KWA VIZIMBA
•Hatua na mambo mhimu ya kuzingatia.
1.Vibali vya uendashaji wa shuguli za ukuzaji viumbe hai majini
I)Mhutasari wa kikao cha serikali ya kijiji au mtaa ambapo mradi utafanyika.
II)TAFIRI- Kufanya survey kwenye eneo ambapo vizimba vitawekwa, kupima kina cha maji, ubora wa maji, mkondo wa maji, ukubwa mawimbi n.k. galama ni Tsh. 2,700,000/=
III)NEMC-Kufanya Environmental Impact Assessment, galama yao n 4,200,000/=
IV)Bonde la Ziwa Victoria- Kutoa kibali cha matumizi ya maji
V)Barua ya Afsa uvuvi wa eneo husika
VI) Kibari kutoka Wizara ya mifugo na uvuvi idara ya ukuzaji viumbe hai majini.
2.Kutengeneza kizimba na Kupanda vifaranga.
-Kizimba chenye urefu wa mita6, upana mita6 na kina cha mita6, kinaweza kubeba vifaranga 10,000.
-Galama za kutengeneza kizimba na kupanda vifaranga ni 6,500,00/=
3.Galama za vyakula
-Awamu ya kwanza 360kg(Starter) za chakula zitatumuka kwa miezi3.
-Awamu ya pili kilo 420kg(Glower) kwa mda wa miezi 2
-Awamu ya tatu ni kilo 300 kwa mda wa mwezi1
(Galama za chakula zinaweza kuongezeka au kupungua kutegemea na mwitikio wa ulaji wa samaki)
4.Galama ya usimamizi na ulinzi wa mradi (Ni makubaliano)
5.Mavuno; Kwenye kizimba cha ukubwa wa mita za eneo 36 kinaweza kubeba vifaranga mpaka 10,000, Matarajio ya kuvuna ni samaki 8500 mpaka 9000 ambao wanakadiliwa kuwa na uzito wa gram 400 mpaka 600
Wastani wa mavuno ni tani 2.5 kwa miezi 6.