babilas25
JF-Expert Member
- Feb 10, 2014
- 471
- 333
- Thread starter
- #21
Ziko sababu nyingi za kutokukuaUnaposema Nile Tilapia hakui vizuri unamaanisha nini? Watu wanatoa gram 400 kwa miezi mitano wakitumia system ya RAS na mbegu ya dume tupu(YY) na mwingine kafuga YY kwenye bwawa la asili katoa gram 600 miezi 6. Unaposema hawakui sikuelewi. Maana kwa miezi 6 uvune samaki mmoja ana nusu kilo huwezi kupata hasara kamwe
Miungoni mwazo ni chakula mbegu usimamizi na mazingira.
Ila kwa sasa kunaimprovement kubwa sana samaki wanafika mpaka gram 600