Natafuta Paka

Nasumbuliwa na panya waliokosa heshima kabisa.. Kama una paka ambaye ana roho mbaya hata kama unauza ntanunua tafadhali... Akiwa mdogo atafaa zaidi.. Nipo Dar Chang'ombe
Ninae paka watatu nyumbani mdogo Yupo mmoja
 
Hahah!! Naivi wanajua kuandika basi Ukitega sumu unakuta wameacha memo kabisa ...SISI SIO WAJINGA...
Duh! Hao panya wako wamezidi lol!
Hapo hata ukipata paka utakuta wamefanya njama na kumfunga kengele shingoni ili akipita wamsikie
 
Nasumbuliwa na panya waliokosa heshima kabisa.. Kama una paka ambaye ana roho mbaya hata kama unauza ntanunua tafadhali... Akiwa mdogo atafaa zaidi.. Nipo Dar Chang'ombe
ninae mmoja kazaa watoto watatu njoo uchukue utawalea mwenyewe hadi wakue wapo na mama yao hapo
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…