Akasubirie Tulembusi MwakampyaUnaitwa nani,tuanzie hapo kwanza!
Chuki ni maradhi na chuki humchoma anayehifadhi.Halafu huu uzi hauwahusu ma Last born.Jiandae kubaguliwa kama wewe ni mkristo au mtu wa bara..watakuita mnywamwezi hata kama umetokea dodoma..ukianzisha biashara lazima zikudodee..labda kama unachouza hakipatikani kabisa maeneo hayo...vijamaa vibaguzi sana..nyerere sijui alivitolea wapi hivi.
#MaendeleoHayanaChama
Mbona kama mleta mada ni mwanamke?Karibu zanzibar kaka hakuna ubaguzi hakuna chuki. kila mtu anaishi maisha yake kama ilivyo bara tu
Achana na maneno ya watu