Natafuta nyimbo za mtumishi Anthony Lusekelo

Natafuta nyimbo za mtumishi Anthony Lusekelo

Itabidi nifanye maarifa nimtume mtu aninunulie maana CD zipo pale kanisani cd moja inauzwa 10,000
Ina hizo nyimbo?
..ukiipata nichek na mimi mkuu maana niko mkoani.RockCity huku
 
hoooooo ambaya yawe amba yaweeee eeeeehhhh amba yawee oooohhhh ambaaaa.....
hapo vipi mzeee umeipata hiyo
 
hoooooo ambaya yawe amba yaweeee eeeeehhhh amba yawee oooohhhh ambaaaa.....
hapo vipi mzeee umeipata hiyo
ndiyo hiyo amba yawe amba yawe amba yawe amba yawe ipo dah hizi nyimbo uwa zinanibariki sana
kuna na Mungu yupo tamu sana
oooh Mungu yupooo oooh Mungu yupoo X2
aliniita kwa jina
aliniita kwa jina
'Ndiyo maana naogopa
Naogopa baba
Naogopa Shiro
.................................... aisee hii CD lazima niisake tenea yani inakupa feeling flani ya upendwa
 
Ukiangalia katika semina zake huyu mtumishi hua kuna tunyimbo tuzuri sana anatuimba twa kipekee, kama ''KWA IMANI TUTASHINDA'' ..''OHH SAYUNI SAYUNI'' N.K

Kama kuna mwenye hutu tunyimbo tuzuri anisaidie hapa tafadhari
Hata mimi ninaupenda sana wimbo huo
 
Back
Top Bottom