Natafuta Mwenza !!

Muke Ya Muzungu

JF-Expert Member
Jun 17, 2009
3,444
264
Msinishangae. Nina miaka 33, single, Msomi, Digrii ya Engeneering ninayo. Mtanashati sana, usafiri wangu ninao. Kazi pia ninayo. Natafuta mwenza, kipenda Roho mpenzi mwanzo, na mke wa baadae. Lazima awe na umbo na Sura ya kuvutia, Napenda Hips na Maziwa makubwa. Lazimwa awe msafi. sitaki mwanamke mwenye harufu chafu au mdomo mchafu. Ukiwa mwembamba pia poa lakini maziwa makubwa muhimu. Sitaki mwanamke mwenye Mume, au Boyfriend, lazima awe single na kazi yake ya maana siyo changudoa. Hata kama hauna kazi, lakini hawe na heshima zake.....Mwenyewe utapenda

sina, mke, mtoto wala drama, kwa hiyo usilete drama... ukiwa na mtoto mmoja poa. ila isije ikawa kuna drama nyuma yake. kwa maana nitachomoka yanikinizidi kimo

Simu tubabadilishana baada ya muda wa kuwasiliana. Nipo Dar. muheza1982@hotmail.com
 
msinishangae. Nina miaka 33, single, msomi, digri ya engeneering ninayo. Mtanashati sana, usafiri wangu ninao. Kazi pia ninayo. Natafuta mwenza, kipenda roho mpenzi mwanzo, na mke wa baadae. Lazima hawe na umbo na sura ya kuvutia, napenda hips na maziwa makubwa. Lazimwa awe msafi. Sitaki mwanamke mwenye harufu chafu au mdomo mchafu. Ukiwa mwembamba pia poa lakini maziwa makubwa muhimu. Sitaki mwanamke mwenye mume, au boyfriend, lazima awe single na kazi yake ya maana siyo changudoa. Hata kama hauna kazi, lakini hawe na heshima zake.....mwenyewe utapenda

simu tubabadilishana baada ya muda wa kuwasiliana. Nipo dar. muheza1982@hotmail.com

acha kutafuta wachumba kwenye mtandao, rudi kijijini wazee wakutafutie mke mwema kama huwezi tafuta mwenyewe, acha mambo ya mitaani
 
Hahahahaha! wanawake wanaweza kutafutwa online kwenye cyber ,mambo ya kijijini
yameshakuwa nyuma na muda,sawa mhandisi komaa tu.
 
Hayo masharti hata ya kazi ya Ikulu yananafuu lolllllhhhh haya wasichana kazi kwenu
 
Haha hahaha!
Mbona kama una mashauzi sana.
Samahani kama nimekujudge vibaya.
 
na kweli he is too choosy.....ila hicho kipengele cha maziwa kimeniacha hoi,kasisitiza yawe makubwa........vitu kama hivi kama ndio unavyoangalia kwa mke then unapotea,maziwa in the future atapata watoto atanyonyesha yatasinyaa/anguka utamuacha au?lol:ballchain:
 
yani ulivyona majigambo lol
ndio maana hujapata mke na kwa stail hiyo mmh utazeeka
badilika na punguza mashauzi utapata
yan umepinda mgongo kuandika upupu kama huo lol
eti sio changu sidhani kama kuna changu anaejua JF...
 
Msinishangae. Nina miaka 33, single, Msomi, Digri ya Engeneering ninayo. Mtanashati sana, usafiri wangu ninao. Kazi pia ninayo. Natafuta mwenza, kipenda Roho mpenzi mwanzo, na mke wa baadae. Lazima hawe na humbo na Sura ya kuvutia, Napenda Hips na Maziwa makubwa. Lazimwa hawe msafi. sitaki mwanamke mwenye harufu chafu au mdomo mchafu. Ukiwa mwembamba pia poa lakini maziwa makubwa muhimu. Sitaki mwanamke mwenye Mume, au Boyfriend, lazima awe single na kazi yake ya maana siyo changudoa. Hata kama hauna kazi, lakini hawe na heshima zake.....Mwenyewe utapenda

sina, mke, mtoto wala drama, kwa hiyo usilete drama... ukiwa na mtoto mmoja poa. ila isije ikawa kuna drama nyuma yake. kwa maana nitachomoka yanikinizidi kimo

Simu tubabadilishana baada ya muda wa kuwasiliana. Nipo Dar. muheza1982@hotmail.com

Ha ha haaaaaaaaaa! Kwa hiyo ukiwa 'Injinia' ndo utafute mwenza bara barani/over the cyber? Naona unaelekea kupata changu, na kwa sababu huna uzoefu wa kuwajua wapi machangu na wapi siyo, pole.
 
yani ulivyona majigambo lol
ndio maana hujapata mke na kwa stail hiyo mmh utazeeka
badilika na punguza mashauzi utapata
yan umepinda mgongo kuandika upupu kama huo lol
eti sio changu sidhani kama kuna changu anaejua JF...
Eti ana gari, na kazi ya maana! Anapenda maziwa makubwa! Ya kichina je? This guy is an amateur! Itakubidi uishie jolly club kama si ambiance/corner bar
 
Msinishangae. Nina miaka 33, single, Msomi, Digri ya Engeneering ninayo. Mtanashati sana, usafiri wangu ninao. Kazi pia ninayo. Natafuta mwenza, kipenda Roho mpenzi mwanzo, na mke wa baadae. Lazima hawe na umbo na Sura ya kuvutia, Napenda Hips na Maziwa makubwa. Lazimwa awe msafi. sitaki mwanamke mwenye harufu chafu au mdomo mchafu. Ukiwa mwembamba pia poa lakini maziwa makubwa muhimu. Sitaki mwanamke mwenye Mume, au Boyfriend, lazima awe single na kazi yake ya maana siyo changudoa. Hata kama hauna kazi, lakini hawe na heshima zake.....Mwenyewe utapenda

sina, mke, mtoto wala drama, kwa hiyo usilete drama... ukiwa na mtoto mmoja poa. ila isije ikawa kuna drama nyuma yake. kwa maana nitachomoka yanikinizidi kimo

Simu tubabadilishana baada ya muda wa kuwasiliana. Nipo Dar. muheza1982@hotmail.com

Sifa zingine ni za kijinga na uinjinia wako peleka huko hapa huwezi kupata hata haya huna wewe
 
mmmmh tatizo umejisifia saaana lol, mie nina watoto saba na waume sita then pia nawewe nataka uongezeke tehetehe hii ni drama
 
na kweli he is too choosy.....ila hicho kipengele cha maziwa kimeniacha hoi,kasisitiza yawe makubwa........vitu kama hivi kama ndio unavyoangalia kwa mke then unapotea,maziwa in the future atapata watoto atanyonyesha yatasinyaa/anguka utamuacha au?lol:ballchain:

Sharubaru wa Towni !!!
 
Nina mashaka na jinsi unavyotongoza yawezekana huwa unapoteza time sana kwa kujimwagia sifa!
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom