Mimi nawashangaa sana wabongo kwa kuponda kila kitu. mimi nimetumia technologia kujitafutia mke na kutoa vigezo ambavyo nimeona ni muhimu kwangu, lakini mnaniponda kwani mnataka niwaoe nyie?? Mnataka nifanyeje? Nyie mkiwa mmeshaoa au kuolewa mniache na udhaifu wangu. Nina uhakika wa kumpata mwanamke wa dream yangu. Sijatafuta malaika, nimetafuta mwanadamu. Na pia siwezi kusema mie ni mutu hovyo, lazima nijinadi, kwani nimesoma, mtanashati na ukweli ndo huo.Nina maisha ya kuridhisha na ninashukuru Mungu kwa hilo. Narudia tena vigezo vyangu
1. Natafuta mwanamke mrembo, na msafi
2. Mwanamke mwenye hips na maziwa makubwa
3. Mwembamba na mnene sawa tu
4. Asiwe na mtoto zaidi ya mmoja
5. sitaki mwanamke mwenye bwana au boyfriend, unless uhusiano wao umekwisha
6. Mwanamke asiwe na drama, kwani mie sina drama kabisa. Mapenzi yawe ni yangu na yake. Habari ndo hiyo wakuponda mniponda. Mrembo kama ni wewe, ni beep kupitia interneti yangu hapo chini na wanga, wenye wivu wote wakajinyonge. Ila mrembo wangu anishtue
Simu tubabadilishana baada ya muda wa kuwasiliana. Nipo Dar.
muheza1982@hotmail.com