Natafuta mwenza wa kiume

Natafuta mwenza wa kiume

Habari JF Members,

Mimi ni mama wa mtoto mmoja nahitaji mwenza aliye serious.
Mwanaume ninayemuhitaji awe na umri kuanzia miaka 34-45.
Awe tayari kuwa baba wa mtoto niliyenaye, awe na upendo wa kweli.
zaidi kuhusu mimi karibu Pm

Wasifu Wangu:

Mkristo
Mi ni mnene
Mrefu cm 178
Maji ya kunde
mwajiriwa (Non -Government)

WEKA PICHA KWANZA MKUU.

 
Unatufanya sisi kama mbao za kupaulia nyumba..eti awe na sentimita.......acha hizo we sema unataka mwanaume mrefu....mtu ushazaa halafu unaleta mbwembwe kibao..jioe basi.
 
Unatufanya sisi kama mbao za kupaulia nyumba..eti awe na sentimita.......acha hizo we sema unataka mwanaume mrefu....mtu ushazaa halafu unaleta mbwembwe kibao..jioe basi.
We utakuwa una msongo wa mawazo. Wapi nimesema urefu wa nnayemtafuta. We kama huna vigezo pita kimya kimya
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom