Natafuta mwenza wa kiume

Natafuta mwenza wa kiume

Mm nafikir naweza kua na wewe maana mwenyewe ni mpweke,ila mkitafutwa mnazingua ila nitafute nipoo dar
 
Wewe umepima au mashauzi tu?
Kupima nini sasa. wewe kama una stress za kukosa chuo😉😉, pita hivi. na kama una wasiwasi na afya yako mi sina. Ambao watakuwa na uhitaji kama mimi watanifuata.
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom