Natafuta mwenza wa kiume

Natafuta mwenza wa kiume

Hahaaaaa huyu bwana nilitaka kumuoa kazingua kapata jamaa kazaa nae na sasa karudi jamvini na nilimuokota hapa hapa jamvimi du makubwa hayo
 
Hahaaaaa huyu bwana nilitaka kumuoa kazingua kapata jamaa kazaa nae na sasa karudi jamvini na nilimuokota hapa hapa jamvimi du makubwa hayo

Muogope Mungu ndugu yangu. Unanifahamu mimi? unauhakika na unayoyasema? kama kweli unanifahamu hebu uambie uma mi ni mtu wa aina gani na napatikana wapi na jamaa nilozaa naye ni nani? kabla ya kuropoka uwe na uhakika na maneno yako.
 
Habari JF Members,

Mimi ni mama wa mtoto mmoja nahitaji mwenza aliye serious.
Mwanaume ninayemuhitaji awe na umri kuanzia miaka 34-45.
Awe tayari kuwa baba wa mtoto niliyenaye, awe na upendo wa kweli.
zaidi kuhusu mimi karibu Pm

Wasifu Wangu:

Mkristo
Mi ni mnene
Mrefu cm 178
Maji ya kunde
mwajiriwa (Non -Government)
Nipm please
 
Habari JF Members,

Mimi ni mama wa mtoto mmoja nahitaji mwenza aliye serious.
Mwanaume ninayemuhitaji awe na umri kuanzia miaka 34-45.
Awe tayari kuwa baba wa mtoto niliyenaye, awe na upendo wa kweli.
zaidi kuhusu mimi karibu Pm

Wasifu Wangu:

Mkristo
Mi ni mnene
Mrefu cm 178
Maji ya kunde
mwajiriwa (Non -Government)
Utapata tu, kazana.
 
Habari JF Members,

Mimi ni mama wa mtoto mmoja nahitaji mwenza aliye serious.
Mwanaume ninayemuhitaji awe na umri kuanzia miaka 34-45.
Awe tayari kuwa baba wa mtoto niliyenaye, awe na upendo wa kweli.
zaidi kuhusu mimi karibu Pm

Wasifu Wangu:

Mkristo
Mi ni mnene
Mrefu cm 178
Maji ya kunde
mwajiriwa (Non -Government)
Dini ndio kikwazo kwangu.
 
Mhuuuuuuh mwajiliwa tena non goverment vigezo kibao na umesahau una mtoto hilo
 
We ishi maisha yako.. Kula bata lea mtoto...
 
Mungu atakupa halafu unaweka masharti..
Wajua anayokuwazia.. Au wewe wajijua zaid Kuliko Mungu anavyokujua..
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom