kibatali mafuta
Member
- Oct 21, 2015
- 45
- 3
una umri gani
tatzo umri wangu naogopa ata kusemaHabari JF Members,
Mimi ni mama wa mtoto mmoja nahitaji mwenza aliye serious.
Mwanaume ninayemuhitaji awe na umri kuanzia miaka 34-45.
Awe tayari kuwa baba wa mtoto niliyenaye, awe na upendo wa kweli.
zaidi kuhusu mimi karibu Pm
Wasifu Wangu:
Mkristo
Mi ni mnene
Mrefu cm 178
Maji ya kunde
mwajiriwa (Non -Government)
ok, kila raheli mungu akutangulie na imani utatimiza ndoto zakoHabari JF Members,
Mimi ni mama wa mtoto mmoja nahitaji mwenza aliye serious.
Mwanaume ninayemuhitaji awe na umri kuanzia miaka 34-45.
Awe tayari kuwa baba wa mtoto niliyenaye, awe na upendo wa kweli.
zaidi kuhusu mimi karibu Pm
Wasifu Wangu:
Mkristo
Mi ni mnene
Mrefu cm 178
Maji ya kunde
mwajiriwa (Non -Government)
Duh mkuu true Fact kuna moja alinikaaa nisimuoe kazalishwa huko sasa hiv naona SMS kibao tuu za kunisalimia kila SAA
domo zege mkuu umekosa kweli kote mpaka jf?Tumechooka kuwajibu mimi nishajibu zaidi ya wa nne niko tayyar kimya kama umefanikiwa kumpata japo humu jf mutujulishe na cc tuliiojaza fomu za kukubali naona mwatupotezea muda ikiwa mtu hukumtaka kwasababu fulani fulani mujibu
ndo unitafte tuyajenge c unajua zege hailali babyahahaaa mi sijapata bwana
Kwani umu vibabu hamna?Wewe hukupata kwa sababu ulikuwa unatafuta vibabu!
Hahahhha mbavu zangukuna dada PM nilimwambia mie mbeba zege akapotea mazima mpaka leo hajibu ila online yupo
We Ushimen si ulikua unalia kwa Ngabu kuwa una gundu ww hupati kabisa wanawakeMkuu...
Hiyo fursa bado ipo?
![]()
![]()
Umefurahi eenhee?Hahahhha mbavu zangu

Unatafta wa tano awe namamaake pia (nadhani)..Na watoto wanne kila mtu mama yake naweza pata nafasi!!