Natafuta mwenza wa kiume

Natafuta mwenza wa kiume

NISHAMPATA kama umekosa mtaani kwako utampata humu usingezalishwa uone miaka 22 ungeshakuwa ndani ya ndoa umezalishwa nani akubebe jiuze mama uokote mapompolilo wenzio humu

TUNAWAAMBIA JITUNZENI PAPUCHI ZENU MNAGAWA TU MNAANZA KUTAFUTA WAUME WA KUWAOA MITANDAONI
Duh mkuu true Fact kuna moja alinikaaa nisimuoe kazalishwa huko sasa hiv naona SMS kibao tuu za kunisalimia kila SAA
 
Habari JF Members,

Mimi ni mama wa mtoto mmoja nahitaji mwenza aliye serious.
Mwanaume ninayemuhitaji awe na umri kuanzia miaka 34-45.
Awe tayari kuwa baba wa mtoto niliyenaye, awe na upendo wa kweli.
zaidi kuhusu mimi karibu Pm

Wasifu Wangu:

Mi ni mnene
Mrefu cm 178
Maji ya kunde
mwajiriwa (Non -Government)
Tupia picha tukuone kabla hatujajiingiza huko!!
 
Habari JF Members,

Mimi ni mama wa mtoto mmoja nahitaji mwenza aliye serious.
Mwanaume ninayemuhitaji awe na umri kuanzia miaka 34-45.
Awe tayari kuwa baba wa mtoto niliyenaye, awe na upendo wa kweli.
zaidi kuhusu mimi karibu Pm

Wasifu Wangu:

Mi ni mnene
Mrefu cm 178
Maji ya kunde
mwajiriwa (Non -Government)
Tumechooka kuwajibu mimi nishajibu zaidi ya wa nne niko tayyar kimya kama umefanikiwa kumpata japo humu jf mutujulishe na cc tuliiojaza fomu za kukubali naona mwatupotezea muda ikiwa mtu hukumtaka kwasababu fulani fulani mujibu
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom