Ethos
JF-Expert Member
- Aug 1, 2015
- 2,294
- 2,057
Habari wana jamvi
Naona imefika wakati wa kutafuta mwenzi wa maisha ila Kigezo kikubwa ni awe Mwalimu hasa Sayansi na Hisabati..
Kipaumbele cha serikali sasa ni Sayansi na Hisabati.. Sitaki kuiangusha serikali yetu
Kama Kuna binti humu ambaye atapenda tuanze mchakato huo naomba tuwasiliane PM
Niko vizuri katika molovie na nina miradi mbalimbali
Asante
Naona imefika wakati wa kutafuta mwenzi wa maisha ila Kigezo kikubwa ni awe Mwalimu hasa Sayansi na Hisabati..
Kipaumbele cha serikali sasa ni Sayansi na Hisabati.. Sitaki kuiangusha serikali yetu
Kama Kuna binti humu ambaye atapenda tuanze mchakato huo naomba tuwasiliane PM
Niko vizuri katika molovie na nina miradi mbalimbali
Asante