Natafuta mwanaume wa kula nae bata kesho

Natafuta mwanaume wa kula nae bata kesho

Mi niko tayari na nitalipia kila kitu just promise kwamba itakuwa ni win win situation
 
Mi sitoki humu, namsubiri
mkuu @ Polisi we ingia mtaani na magwanda yako mbona fasta utapata kitu cha ukwel! Achana na huyu wa Jf anbabaisha wa2, wakati tumeshahama analogue 2ko kidigital zaid, ukileta maringo tuna tupa mbali
 
Mwanaume suruali we! Unaogopa malipo? Usihofu ntalipa,niPM basi
Polisi njoo yupo huku. Ngojea nikae kando niangalie mwisho wa hii Movie. Kama BUNGE la Nchemba vile.
 
wabongo wanavopenda dezo watavunjikia miguu hapa
 
mrembo hapa umefika hakika utapata hitaji la moyo wako. naomba unipm ili wachawi wasijue nyendo zetu.
 
Kumbe mchumba hujapata, hata wa kula naye bata hujampata miongoni mwa hao walioku-pm du, bado una safari ndefu tena ikiwezekana kaoge baharini pale feri mchana kweupe. Naona umeamua igaragazwe mpaka mwisho wa maisha yako.
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom