Bavaria
JF-Expert Member
- Jun 14, 2011
- 53,092
- 53,568
nimeweka hapo clear kila kitu umependa kufupisha! ila sio single father wote wana vigezo
Sio lazima ukutane na mwanaume mgane
nimeweka hapo clear kila kitu umependa kufupisha! ila sio single father wote wana vigezo
Sio lazima ukutane na mwanaume mgane
Nimekuwa msomaji humu ila nimekuwa na ID kwa sababu hii.
Kama umefiwa na mkeo kipenzi cha roho yako akakuachia watoto wasiozidi 2 na asipungue mmoja njooo inbox najua una hitaji mwanamke wakukupenda kwa dhati na mlee watoto. Mi nna 1 na wako 2 basi tutaendeleza fimilia yetu bila hiana!
Vigezo muhimu
age 37-42
uchumi: uwezo wakujihudumia wewe na watoto ( na mimi sio tegemezi sihitaji tegemezi ili tuwe tunashare/kusaidiana)
Uwe ushamalizamaujinga ujinga yooote tujenge familia
elimu: kusoma na kuandika japo mi ni graduate
Dini: RC,Lutheran, muislam naweza copy naye haina shida uwe kweli una mcha Mungu.
makazi: uwe na kwako sio unakaa kwa wazazi ama ndugu mf uwe umepanga/ umejenga.
NB: Usije inbox kama hukuwa unampenda mkeo maana utakuja huhitaji upendo wewe na huujui,
pia kama hujafiwa na mke na huna mtoto labda uwe umewahi kuumizwa sana mwenzako ameolewa naana watoto huko umekata tamaa ya mapenzi n.k.
umri wangu 27-29
Kwa nini umetaka mjane tu ndugu?sio kirahisi hivyo mkuu nishawaelewa![]()
asante kwa alert
Kwa nini umetaka mjane tu ndugu?
Soma basi uelewe mbona kaweka umriHebu weka umri wako kwanza
Ungekuwa mhitaji ungemwelewa kabisa yaani hapo kaweka age yake ni btwn 27-29 hajafika 29 khaaa elimu elimu elimu inakuhusuUna miaka 27, alafu una 28, pia una miaka 29
Jifunze kujieleza dadaangu mtu mmoja haiwezekani awe na umri tofauti tofatuti kwa wakati mmoja. Alafu sio mgane ni MJANE.
Mjane ni mwanamke aliyeUna miaka 27, alafu una 28, pia una miaka 29![]()
Jifunze kujieleza dadaangu mtu mmoja haiwezekani awe na umri tofauti tofatuti kwa wakati mmoja. Alafu sio mgane ni MJANE.
mwenye macho haambiwi tazama
Mpaka ntakapokutatua marinda ndo utaniheshimu... I said staki mazoea na mapunga, sasa kama unawashwa endelea...Pack pembeni na ujinga wako ukielimika ndio utajua ni nani anaquote comment zako za kijingam angalao uelimike bado elimu elimu elimu
kinyume cha mjane!!!! aya nendaMgane ni mwanaume wa aina gani?
27-29, ni range.Una miaka 27, alafu una 28, pia una miaka 29![]()
Jifunze kujieleza dadaangu mtu mmoja haiwezekani awe na umri tofauti tofatuti kwa wakati mmoja. Alafu sio mgane ni MJANE.