Natafuta mwanaume mgane

Natafuta mwanaume mgane

Una miaka 27, alafu una 28, pia una miaka 29
Jifunze kujieleza dadaangu mtu mmoja haiwezekani awe na umri tofauti tofatuti kwa wakati mmoja. Alafu sio mgane ni MJANE.
wewe ndio hujui Mjane ni mwanamke aliyefiwa na mume na Mgane ni mwanamume aliyefiwa na mkewe.
 
Nimekuwa msomaji humu ila nimekuwa na ID kwa sababu hii.
Kama umefiwa na mkeo kipenzi cha roho yako akakuachia watoto wasiozidi 2 na asipungue mmoja njooo inbox najua una hitaji mwanamke wakukupenda kwa dhati na mlee watoto. Mi nna 1 na wako 2 basi tutaendeleza fimilia yetu bila hiana!

Vigezo muhimu
age 37-42

uchumi: uwezo wakujihudumia wewe na watoto ( na mimi sio tegemezi sihitaji tegemezi ili tuwe tunashare/kusaidiana)
Uwe ushamalizamaujinga ujinga yooote tujenge familia

elimu: kusoma na kuandika japo mi ni graduate
Dini: RC,Lutheran, muislam naweza cope naye haina shida uwe kweli una mcha Mungu.

makazi: uwe na kwako sio unakaa kwa wazazi ama ndugu mf uwe umepanga/ umejenga.

NB: Usije inbox kama hukuwa unampenda mkeo maana utakuja huhitaji upendo wewe na huujui,
pia kama hujafiwa na mke na huna mtoto labda uwe umewahi kuumizwa sana mwenzako ameolewa naana watoto huko umekata tamaa ya mapenzi n.k.

umri wangu 27-29


Hongera kwa kujitokeza. Mwenyezi Mungu akusaidie upate haja ya Moyo wako. Yaani mume atayekuweka karibu na Mungu na kukuletea furaha ya maisha.
 
Mimi nilijua unatafuta mwanaume mkware nikajisemea Yeees. Kumbe anatafutwa mgane. Kila la kheri Mkuu
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom