Natafuta 'mwananake' mwenye uhitaji wa mume ili kujenga familia

Natafuta 'mwananake' mwenye uhitaji wa mume ili kujenga familia

Next King

Member
Joined
Dec 30, 2023
Posts
45
Reaction score
104
Tumsifu Yesu Kristo ndugu zangu.

Ndugu zangu mimi ni mwanaume, miaka 40 natafuta mwanamke mwenye uhitaji wa mume ili kuishi maisha ya kumpendeza Mungu kwa kufunga ndoa na kujenga familia bora pamoja.

Elimu yangu ni ya Chuo, nina kibarua cha kunipatia kipato cha kuendesha familia vizuri ikiwemo kusomesha watoto ambao Mungu atatujalia.
Mi ni Mkristo mkatoliki, lakini dhehebu lingine sio tatizo kikubwa upendo wa dhati.

SIFA ZA MWANAMKE ANAYEJITAJIKA
1. Awe tayari kupima HIV
2. Umri miaka 25 hadi 35.
3. Awe na hofu ya Mungu
4. Awe tayari kuishi na mume, na kumfuata mume aliko na sio mahusiano ya mbali mbali.
5. Elimu kuanzia : DIPLOMA na kuendelea.

ASANTE SANA, na mwenye uhitaji KARIBU SANA 🙏
 
Hadi umefika 40 ulikuwa wapi mzee?

Hapa ulishindwa kabisa kuchagua our Next King ?

 
Hadi umefika 40 ulikuwa wapi mzee?

Hapa ulishindwa kabisa kuchagua our Next King ?

Duh😂😂
 
Hadi umefika 40 ulikuwa wapi mzee?

Hapa ulishindwa kabisa kuchagua our Next King ?

Hapa JF kabla ya kuandika uzi lazima ujikumbushe nyuzi zako za nyuma ili usije kuumbuka...
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom