G Sam
JF-Expert Member
- Apr 20, 2013
- 12,289
- 38,942
Soma vizuri hapo juu,sitafuti kitu kupitia rushwa ya ngono nafuta mwenza
mbona hujabalance weight kwa kuongeza na utayari wa kuambukizwa virus?
Soma vizuri hapo juu,sitafuti kitu kupitia rushwa ya ngono nafuta mwenza
Soma vizuri hapo juu,sitafuti kitu kupitia rushwa ya ngono nafuta mwenza
Mimi ni mwanaume msomi mwenye elimu ya chuo kikuu,sina kazi lakini nina mipango mingi ya kuwa mtu mwenye mafanikio makubwa kimaisha,ninapenda kufanya shughuli za kujiajiri ila tu mtaji sina.natafuta mwanamke atakaye nirahisishia mipango ya kimaendeleo.ninaahidi kuwa mwenza mwema na mwaminifu.namba yangu ni:0769743787
nikajua umepitwa mkuusiku utayokuwa mwanaume utaacha kuwa na mawazo mgando kama haya...
watu8Kazi kweli.hapo sijamsikia mtalaamu wangu watu8 njoo huku ucoment mkuu.kuna jamaa kachoma cha kike kakutana nalo.
watu8
........SALUTE MKUU!!!
ha ha ha ha!Wabongo kwa wivu hamjambo
umri wangu nitakutajia kadri tutakavyo wasiliana zaidi,kwa mwanamke ni umri wowote ule,ila uwe chini ya miaka 40.
Ivi mme wa mwanamke atakayekupata akijua ww ndo unamla mkewe, utakua tayari kuliwa tgo?