Natafuta mwanamke bikira

Natafuta mwanamke bikira

Habari,
Niende moja kwa moja kwenye mada. Kigezo kikuu awe mwanamke bikira na vya nyongeza ajue kusoma na kuandika (akiwa na elimu kuanzia kidato cha nne na kuendelea itapendeza zaidi), dini yoyote na umri awe kati ya 19 na 26, asiwe mfupi, awe na muonekano wa kuvutia, akiwa Dar itapendeza zaidi.

Mimi ni mkristo, miaka 30, muajiriwa sekta binafsi, elimu yangu ya digrii, mrefu wa wastani na naishi Dar Es Salaam.

Njoo DM (hata kama si wewe ila una ndugu au rafiki mwenye hivyo vigezo nilivyovitaja unaweza kutuunganisha.)

NB: Wale wa kataa ndoa endeleeni kukataa fainali uzeeni.
Huna kwenu?
 
Habari,
Niende moja kwa moja kwenye mada. Kigezo kikuu awe mwanamke bikira na vya nyongeza ajue kusoma na kuandika (akiwa na elimu kuanzia kidato cha nne na kuendelea itapendeza zaidi), dini yoyote na umri awe kati ya 19 na 26, asiwe mfupi, awe na muonekano wa kuvutia, akiwa Dar itapendeza zaidi.

Mimi ni mkristo, miaka 30, muajiriwa sekta binafsi, elimu yangu ya digrii, mrefu wa wastani na naishi Dar Es Salaam.

Njoo DM (hata kama si wewe ila una ndugu au rafiki mwenye hivyo vigezo nilivyovitaja unaweza kutuunganisha.)

NB: Wale wa kataa ndoa endeleeni kukataa fainali uzeeni.
Sikushauli

Sent using Jamii Forums mobile app
 
"Bikira zote aliondoka nazo Maria Mama Kipenzi wa Yesu Kristo,,,ambae pia amepalizwa mbinguni,,jua chini ya miguu yake na Taji la nyota kumi na mbili juu ya kichwa Chake"
 
Mwanaume aliyenioa baba mtoto wangu alison, Baba Alison bikra aliitoa kabla ya siku yenyewe ya ndoa, so wakaifutilia, Baba Alison alijingata aka mwaka dam yake kwenye shuka.

Nilicheka sana. Nikamwambia hubby dam ya bikri inajulikana, ikabidi nijijeruhi ukeni kwangu, jamaa aliitoa mwenyewe siku za nyuma huko. tena wkt huo nilikuwa mjamzito
 
Njoo nikupe connection. Kuna pisi ina 21 years ameahidi kunitunuku wiki ijayo ila anasema hajawahi kabisa so nijiandae na hiyo situation namna ya kumuandaa asiumie. Nipe dau lako nikuachie uwanja by the way mm napiga nasepa, kama vp nikuachie jumla kabisa nikahangaike na migume gume na masingle maza yaliyokubuhu
Mkuu ndo uniwekee dau silid ambayo hatujuhi kama kweli ipo. Vipi nisipoikuta na ushakula ela yangu?
 
Mwanaume aliyenioa baba mtoto wangu alison, Baba Alison bikra aliitoa kabla ya siku yenyewe ya ndoa, so wakaifutilia, Baba Alison alijingata aka mwaka dam yake kwenye shuka.

Nilicheka sana. Nikamwambia hubby dam ya bikri inajulikana, ikabidi nijijeruhi ukeni kwangu, jamaa aliitoa mwenyewe siku za nyuma huko. tena wkt huo nilikuwa mjamzito
Hongera sana mkuu kwa kumtunzia mumeo. Vipi hauna mdogo wako aliefuata nyayo zako?
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom