Natafuta mwanamke bikira

Natafuta mwanamke bikira

Nashukuru kwa ushauri wako japo naweza kuanza nao kwa hawa hawa wavaa gwanda wa hapa mjini.
Wavaa gwanda wa mjini wengi siyo bikra labda ucheze na form 2B. Ila shauri yako utafungwa.

Kijijini wapo waliosogeza umri na bado ni mabikra ila washamba washamba sana
 
Mabikra utapata ila ni vifupi.Kumkuta mrefu bikra ni sawa na kuifanya JF iwe na muonekano wa Insta.
 
Bikra ya eneo gani tafadhali
Miaka 19-26???
Hata huko Uarabuni huwezi kupata bikra kwa miaka hii.
Umri wa 19-26 kati ya wanawake 50,000 wenye bikra ni 2 tu.
Almost impossible
Hapana zipo msimkatishe jamaa tamaa. Hiyo ndo kitu anataka na zipo. Mi simjui huyu jamaa vizuri tu ila ningemuunganisha na mtuwenye sifa aitakayo.
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom