Mkuu nafanya kubahatisha tu. Nisipopata potelea mbali ila angalau nilijaribu kumtafuta ili nisijilaumu sana mbeleni.Bikra ya eneo gani tafadhali
Miaka 19-26???
Hata huko Uarabuni huwezi kupata bikra kwa miaka hii.
Umri wa 19-26 kati ya wanawake 50,000 wenye bikra ni 2 tu.
Almost impossible
Nilichogundua mi ni kijana kiumri ila kwenye mapenzi nina mentality ya vijana wa miaka ya 80s na 90s. Kama sio bikra sitooa kamwe.Kila la heri Mkuu, ila ni Wanaume wachache sana tuliobahatika kuoa Wanawake bikra.
Miaka ile ya zamani ilikuwa kawaida kuoa binti wa miaka 25 alafu ni bikra, lakini sio zama zenu hizi ambapo unakuta binti anaondolewa bikra akiwa shule ya Msingi huko.
Natafuta huyo no. 2 mkuuUnataka bikra ipi tukusaidie!
Matundu ni mawili kwa sasa.
Na je unataka bikra ya context ipi!
1. kuna bikra ya kutoingiziwa uume tangu kuzaliwa lakin tundu ni kubwa na nyonyo fenesi.
2. Kuna bikra utando yani net haijachanika na ndo hutoa dam day one.
USHAURI
Usipende kuajiri walioko internship taasisi yako itayumba watakapoanza kufanya explorations za kidadisi 'uzoefu ni ufanisi'
Mwanamke bikra aijue Jamiiforms!? .... Utakuwa unaota!!!Habari,
Niende moja kwa moja kwenye mada. Kigezo kikuu awe mwanamke bikira na vya nyongeza ajue kusoma na kuandika (akiwa na elimu kuanzia kidato cha nne na kuendelea itapendeza zaidi), dini yoyote na umri awe kati ya 19 na 26, asiwe mfupi, awe na muonekano wa kuvutia, akiwa Dar itapendeza zaidi.
Mimi ni mkristo, miaka 30, muajiriwa sekta binafsi, elimu yangu ya digrii, mrefu wa wastani na naishi Dar Es Salaam.
Njoo DM (hata kama si wewe ila una ndugu au rafiki mwenye hivyo vigezo nilivyovitaja unaweza kutuunganisha.)
NB: Wale wa kataa ndoa endeleeni kukataa fainali uzeeni.
Hongera kwa kuwa na hiyo mentality, ila nakupa pole kwa maana unaweza kujikuta umezeeka pasipo kumpata huyo Mwanamke Bikra.Nilichogundua mi ni kijana kiumri ila kwenye mapenzi nina mentality ya vijana wa miaka ya 80s na 90s. Kama sio bikra sitooa kamwe.
Njoo nikupe connection. Kuna pisi ina 21 years ameahidi kunitunuku wiki ijayo ila anasema hajawahi kabisa so nijiandae na hiyo situation namna ya kumuandaa asiumie. Nipe dau lako nikuachie uwanja by the way mm napiga nasepa, kama vp nikuachie jumla kabisa nikahangaike na migume gume na masingle maza yaliyokubuhuHabari,
Niende moja kwa moja kwenye mada. Kigezo kikuu awe mwanamke bikira na vya nyongeza ajue kusoma na kuandika (akiwa na elimu kuanzia kidato cha nne na kuendelea itapendeza zaidi), dini yoyote na umri awe kati ya 19 na 26, asiwe mfupi, awe na muonekano wa kuvutia, akiwa Dar itapendeza zaidi.
Mimi ni mkristo, miaka 30, muajiriwa sekta binafsi, elimu yangu ya digrii, mrefu wa wastani na naishi Dar Es Salaam.
Njoo DM (hata kama si wewe ila una ndugu au rafiki mwenye hivyo vigezo nilivyovitaja unaweza kutuunganisha.)
NB: Wale wa kataa ndoa endeleeni kukataa fainali uzeeni.
Wewe mwenyewe bikra?Habari,
Niende moja kwa moja kwenye mada. Kigezo kikuu awe mwanamke bikira na vya nyongeza ajue kusoma na kuandika (akiwa na elimu kuanzia kidato cha nne na kuendelea itapendeza zaidi), dini yoyote na umri awe kati ya 19 na 26, asiwe mfupi, awe na muonekano wa kuvutia, akiwa Dar itapendeza zaidi.
Mimi ni mkristo, miaka 30, muajiriwa sekta binafsi, elimu yangu ya digrii, mrefu wa wastani na naishi Dar Es Salaam.
Njoo DM (hata kama si wewe ila una ndugu au rafiki mwenye hivyo vigezo nilivyovitaja unaweza kutuunganisha.)
NB: Wale wa kataa ndoa endeleeni kukataa fainali uzeeni.
Unatafuta bikra jf unaumwa mkuu?ππππHabari,
Niende moja kwa moja kwenye mada. Kigezo kikuu awe mwanamke bikira na vya nyongeza ajue kusoma na kuandika (akiwa na elimu kuanzia kidato cha nne na kuendelea itapendeza zaidi), dini yoyote na umri awe kati ya 19 na 26, asiwe mfupi, awe na muonekano wa kuvutia, akiwa Dar itapendeza zaidi.
Mimi ni mkristo, miaka 30, muajiriwa sekta binafsi, elimu yangu ya digrii, mrefu wa wastani na naishi Dar Es Salaam.
Njoo DM (hata kama si wewe ila una ndugu au rafiki mwenye hivyo vigezo nilivyovitaja unaweza kutuunganisha.)
NB: Wale wa kataa ndoa endeleeni kukataa fainali uzeeni.
Kuna mmoja nimemuona ame-like angalia katika walio-like alafu ruka nae, utanishukuru baadae huyo ni BikraHabari,
Niende moja kwa moja kwenye mada. Kigezo kikuu awe mwanamke bikira na vya nyongeza ajue kusoma na kuandika (akiwa na elimu kuanzia kidato cha nne na kuendelea itapendeza zaidi), dini yoyote na umri awe kati ya 19 na 26, asiwe mfupi, awe na muonekano wa kuvutia, akiwa Dar itapendeza zaidi.
Mimi ni mkristo, miaka 30, muajiriwa sekta binafsi, elimu yangu ya digrii, mrefu wa wastani na naishi Dar Es Salaam.
Njoo DM (hata kama si wewe ila una ndugu au rafiki mwenye hivyo vigezo nilivyovitaja unaweza kutuunganisha.)
NB: Wale wa kataa ndoa endeleeni kukataa fainali uzeeni.
NAKAZIA HAPA kuna mbwa mmoja leo wenzangu wanafungua mabox ya zawad mimi nafungua mabox ya azumaU.T.I
bamdogo yu are missedWewe mwenye bikra?
π π π π π π π π π π π π π π πnafungua mabox ya azuma
Nimecheka sana sijui kwaniniπππππππππdaaah
Kwa umri huo umpate bikra!! Hauko serious mkuu. Kwa siku hizi hao hawapo mkuu.Habari,
Niende moja kwa moja kwenye mada. Kigezo kikuu awe mwanamke bikira na vya nyongeza ajue kusoma na kuandika (akiwa na elimu kuanzia kidato cha nne na kuendelea itapendeza zaidi), dini yoyote na umri awe kati ya 19 na 26, asiwe mfupi, awe na muonekano wa kuvutia, akiwa Dar itapendeza zaidi.
Mimi ni mkristo, miaka 30, muajiriwa sekta binafsi, elimu yangu ya digrii, mrefu wa wastani na naishi Dar Es Salaam.
Njoo DM (hata kama si wewe ila una ndugu au rafiki mwenye hivyo vigezo nilivyovitaja unaweza kutuunganisha.)
NB: Wale wa kataa ndoa endeleeni kukataa fainali uzeeni.