Natafuta mwanamke bikira

Natafuta mwanamke bikira

Habari,
Niende moja kwa moja kwenye mada. Kigezo kikuu awe mwanamke bikira na vya nyongeza ajue kusoma na kuandika (akiwa na elimu kuanzia kidato cha nne na kuendelea itapendeza zaidi), dini yoyote na umri awe kati ya 19 na 26, asiwe mfupi, awe na muonekano wa kuvutia, akiwa Dar itapendeza zaidi.

Mimi ni mkristo, miaka 30, muajiriwa sekta binafsi, elimu yangu ya digrii, mrefu wa wastani na naishi Dar Es Salaam.

Njoo DM (hata kama si wewe ila una ndugu au rafiki mwenye hivyo vigezo nilivyovitaja unaweza kutuunganisha.)

NB: Wale wa kataa ndoa endeleeni kukataa fainali uzeeni.
Haya ni maagizo ya mganga au?
Ukitaka bikra kawatafute vijijini ndani ndani bado wapo
 
Haya ni maagizo ya mganga au?
Ukitaka bikra kawatafute vijijini ndani ndani bado wapo
Na hivyo vijiji visiwe vya usukumani, nimekuja likizo huku.

Nina mdogo wangu nurse kwenye hospitali moja ya wilaya anasema ni kawaida mtoto wa miaka 16 kuja kujifungua mimba ya pili.

Sasa jiulize bikra ilitoka lini!!
 
Habari,
Niende moja kwa moja kwenye mada. Kigezo kikuu awe mwanamke bikira na vya nyongeza ajue kusoma na kuandika (akiwa na elimu kuanzia kidato cha nne na kuendelea itapendeza zaidi), dini yoyote na umri awe kati ya 19 na 26, asiwe mfupi, awe na muonekano wa kuvutia, akiwa Dar itapendeza zaidi.

Mimi ni mkristo, miaka 30, muajiriwa sekta binafsi, elimu yangu ya digrii, mrefu wa wastani na naishi Dar Es Salaam.

Njoo DM (hata kama si wewe ila una ndugu au rafiki mwenye hivyo vigezo nilivyovitaja unaweza kutuunganisha.)

NB: Wale wa kataa ndoa endeleeni kukataa fainali uzeeni.

kwaiyo una vipimo vya kuhakikisha au kila mwanamke utakua unamjaribu kwanza
 
Habari,
Niende moja kwa moja kwenye mada. Kigezo kikuu awe mwanamke bikira na vya nyongeza ajue kusoma na kuandika (akiwa na elimu kuanzia kidato cha nne na kuendelea itapendeza zaidi), dini yoyote na umri awe kati ya 19 na 26, asiwe mfupi, awe na muonekano wa kuvutia, akiwa Dar itapendeza zaidi.

Mimi ni mkristo, miaka 30, muajiriwa sekta binafsi, elimu yangu ya digrii, mrefu wa wastani na naishi Dar Es Salaam.

Njoo DM (hata kama si wewe ila una ndugu au rafiki mwenye hivyo vigezo nilivyovitaja unaweza kutuunganisha.)

NB: Wale wa kataa ndoa endeleeni kukataa fainali uzeeni.
Wewe mwenyewe ni bikra?
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom