The Icebreaker
Platinum Member
- Apr 24, 2014
- 34,115
- 102,702
Aina ya binti unayemtafuta hayumo humu JF
Sina maana mbaya lakini.
Sina maana mbaya lakini.
Haya ni maagizo ya mganga au?Habari,
Niende moja kwa moja kwenye mada. Kigezo kikuu awe mwanamke bikira na vya nyongeza ajue kusoma na kuandika (akiwa na elimu kuanzia kidato cha nne na kuendelea itapendeza zaidi), dini yoyote na umri awe kati ya 19 na 26, asiwe mfupi, awe na muonekano wa kuvutia, akiwa Dar itapendeza zaidi.
Mimi ni mkristo, miaka 30, muajiriwa sekta binafsi, elimu yangu ya digrii, mrefu wa wastani na naishi Dar Es Salaam.
Njoo DM (hata kama si wewe ila una ndugu au rafiki mwenye hivyo vigezo nilivyovitaja unaweza kutuunganisha.)
NB: Wale wa kataa ndoa endeleeni kukataa fainali uzeeni.
Jaribu ufike huko vijijin ujitwaliwe wakoKazi inabana mkuu, nilishapata hili wazo ila mazingira hayaniruhusu.
Aende huko Nanjilinji atawakuta wamepanga foleni,kazi kwake tu.Jaribu ufike huko vijijin ujitwaliwe wako
1. Awe DarKipendacho roho.....
Huko ni wengi sana na wakishajua unatokea mjini hutumii hata nguvu sanaAende huko Nanjilinji atawakuta wamepanga foleni,kazi kwake tu.
Sahihi kabisa, labda atoe chance kwa ile bikra nyingine 😂😂😂🏃🏻♀️🏃🏻♀️🏃🏻♀️🤦🏻♀️🤭Aina ya binti unayemtafuta hayumo humu JF
Sina maana mbaya lakini.
hadi wewe ?Sahihi kabisa, labda atoe chance kwa ile bikra nyingine 😂😂😂🏃🏻♀️🏃🏻♀️🏃🏻♀️🤦🏻♀️🤭
Na hivyo vijiji visiwe vya usukumani, nimekuja likizo huku.Haya ni maagizo ya mganga au?
Ukitaka bikra kawatafute vijijini ndani ndani bado wapo
Tatizo lako unafikiria mambo mabaya 😆😆😆hadi wewe ?
Habari,
Niende moja kwa moja kwenye mada. Kigezo kikuu awe mwanamke bikira na vya nyongeza ajue kusoma na kuandika (akiwa na elimu kuanzia kidato cha nne na kuendelea itapendeza zaidi), dini yoyote na umri awe kati ya 19 na 26, asiwe mfupi, awe na muonekano wa kuvutia, akiwa Dar itapendeza zaidi.
Mimi ni mkristo, miaka 30, muajiriwa sekta binafsi, elimu yangu ya digrii, mrefu wa wastani na naishi Dar Es Salaam.
Njoo DM (hata kama si wewe ila una ndugu au rafiki mwenye hivyo vigezo nilivyovitaja unaweza kutuunganisha.)
NB: Wale wa kataa ndoa endeleeni kukataa fainali uzeeni.
Wewe mwenyewe ni bikra?Habari,
Niende moja kwa moja kwenye mada. Kigezo kikuu awe mwanamke bikira na vya nyongeza ajue kusoma na kuandika (akiwa na elimu kuanzia kidato cha nne na kuendelea itapendeza zaidi), dini yoyote na umri awe kati ya 19 na 26, asiwe mfupi, awe na muonekano wa kuvutia, akiwa Dar itapendeza zaidi.
Mimi ni mkristo, miaka 30, muajiriwa sekta binafsi, elimu yangu ya digrii, mrefu wa wastani na naishi Dar Es Salaam.
Njoo DM (hata kama si wewe ila una ndugu au rafiki mwenye hivyo vigezo nilivyovitaja unaweza kutuunganisha.)
NB: Wale wa kataa ndoa endeleeni kukataa fainali uzeeni.
Nashangaa anaangaika wakati mie nipo tuliiNgoja nimwite binti kiziwi akuchekie huko Singida ndani ndani au nimwite na To yeye aje kutoa muongozo,
Posho yangu ya udalali iwe tayari mkuu Wafujo
Mwamba tutampatia mtoto wa miaka 13 ndio atakuta hiyo kitu. Hivi hivi i can not guarantee 😂Ngoja nimwite binti kiziwi akuchekie huko Singida ndani ndani au nimwite na To yeye aje kutoa muongozo,
Posho yangu ya udalali iwe tayari mkuu Wafujo
Nmecheka sana 🤣🤣🤣🤣🤣Sahihi kabisa, labda atoe chance kwa ile bikra nyingine 😂😂😂🏃🏻♀️🏃🏻♀️🏃🏻♀️🤦🏻♀️🤭
Hebu mtafutieni mwenzenu.Nmecheka sana 🤣🤣🤣🤣🤣
Na ww usitishie watu "fainali uzeeni"Usinilazimishe kuamini unachokiamini wewe. Kila mtu abaki na imani yake.