Nivea
JF-Expert Member
- May 21, 2012
- 7,459
- 4,748
Nina shida ya mwalimu mzuri wakuwafundisha watoto wangu tuition wa darasa la kwanza na la pili nitamlipa vbizuri tu ,niko maeneo ya kibada-kigamboni .kama nitapata wa maeneo haya haya nitafurahi sana awe anakuja anawafundisha anaondoka,nineshanunua vitabu vyote vya level zao.
Nitashukuru kama mtajitokeza
Nitashukuru kama mtajitokeza