Natafuta Mwalimu wa kinanda Tanga

Natafuta Mwalimu wa kinanda Tanga

Kalamu Nzito

JF-Expert Member
Joined
Aug 13, 2015
Posts
376
Reaction score
850
Habari zenu Wakuu,

Mwaka huu nimeona niongeze skills kidogo hivyo nataka kujifunza kupiga kinanda. Mimi ni beat maker ila bado sijaiva kwenye kupiga kinanda vizuri. Nataka niive ili nianze kuandaa project zangu serious.

Nafahamu ningekua Dar es Salaam ingekua rahisi maana music schools kwa Dar zipo ila mikoani huku imekuwa shida kidogo. Hivyo kama unamfahamu mwalimu mzuri wa kinanda mkoani Tanga naomba uniunganishe nae.
 
Umenijibu kwa jazba sana. Hata mimi nafanya production ya muziki tangu 2019 na nilitaka nikupe heads up kabla haujaingia kwenye kujifunza ila inaonekana una ego ya kitoto.

Bon voyage!
Duuh! leo ndo nashangaa imekuaje nikajibu hivyo. Nisamehe sana mkuu. Nimefuta kabisa.
 
Back
Top Bottom