majangatz
Senior Member
- Nov 15, 2013
- 107
- 91
Assalam Alleykum. Ninahitaji mwalimu kwa ajili ya kufundisha dini ya Kiislam. Sehemu alipo mwanafunzi ni Luguruni, Morogoro Road.
Mwalimu lazima awe mwanamke na mwanafunzi hajawahi kusoma Quran japo ana Idea na mambo ya Kiislam. Tafadhali kwa anayemjua mwalimu au mtu ambaye anaweza kufanya kazi hiyo tuwasiliane. Ratiba ya kusoma tutapanga baada ya kujadiliana.
Piga 0713 584 226 tujadili hili. Natoa shukrani zangu za dhati kwenu wote.
Mwalimu lazima awe mwanamke na mwanafunzi hajawahi kusoma Quran japo ana Idea na mambo ya Kiislam. Tafadhali kwa anayemjua mwalimu au mtu ambaye anaweza kufanya kazi hiyo tuwasiliane. Ratiba ya kusoma tutapanga baada ya kujadiliana.
Piga 0713 584 226 tujadili hili. Natoa shukrani zangu za dhati kwenu wote.