Namche Bazar
Senior Member
- Apr 8, 2019
- 167
- 272
Ahahahahahaaaaaa duh!
Weka email address watu watume maombi ya kazi na CV zao. Unawekaje Tangazo la kazi kama biashara ya MAGENDO. (kama wauza Potassium wanaweka hadi namba, wewe Professional unashindwaje).Mawasiliano ni PM
Dah so sisi ndio waalimu🤣
We si huwa mwalimu wewe! tena wa chekechea, la pili litakufaa kabisa, wa kiume fanya uende!
Nina aleg na chakiWe si huwa mwalimu wewe! tena wa chekechea, la pili litakufaa kabisa, wa kiume fanya uende!
Muandiko tu unakuelezeaDah so sisi ndio waalimu🤣
✅Habari za jioni?
Shule ya msingi ya binafsi ya Kiingereza iliyopo Tanga mjini inatafuta mwalimu mzoefu wa kufundisha darasa la pili.
Awe za uzoefu na ari ya kupenda kufundisha watoto wadogo.
Tunapendelea zaidi akiwa mwanaume,japokuwa hata wa kike anaruhusiwa kuomba nafasi hii.
Mawasiliano ni PM
Mimi hata kutofautisha R L sijui kijana nawezajeMuandiko tu unakuelezea
Kwahiyo umeona mimi ndio level hizo sio?Nina aleg na chaki
Unaweka tangazo la kazi halafu mawasiliano ni PM! Unataka kuficha nini kwa mfano?Habari za jioni?
Shule ya msingi ya binafsi ya Kiingereza iliyopo Tanga mjini inatafuta mwalimu mzoefu wa kufundisha darasa la pili.
Awe za uzoefu na ari ya kupenda kufundisha watoto wadogo.
Tunapendelea zaidi akiwa mwanaume,japokuwa hata wa kike anaruhusiwa kuomba nafasi hii.
Mawasiliano ni PM
Kwenye amna amna unaweza kumvutia afisa elimu mwisho ukapata UDAS wilayaniKwahiyo umeona mimi ndio level hizo sio?
Daah! Umenikumbusha mbali sana.
Amenikumbusha mbali sana ila sio kwa class two.🤣🤣🤣🤣Dah so sisi ndio waalimu🤣
Mshenzi huyu mtoto 🤣Amenikumbusha mbali sana ila sio kwa class two.🤣🤣🤣🤣
Nilichagua hiii nafikiri sijakosea