Natafuta Mwalimu wa CAD.. AutoCAD, ArchCAD, RevitArchtect

Natafuta Mwalimu wa CAD.. AutoCAD, ArchCAD, RevitArchtect

Ridhwani Mbaraka

JF-Expert Member
Joined
Jun 18, 2017
Posts
484
Reaction score
1,137
Ninatafuta mtu anaeweza kutumia software hizo ili nimwajiri..
Kazi iko Arusha.
Akiwa mtu wa nje ya Arusha nitapenda sana awe hana familiar.. Yaani hajaoa wala kuolewa.
Mshahara ni kati ya 500,000/-700,000/ itategemea na uzoefu wake na bidii ktk majukumu atakayopewa.

Karibu!
 
Ninatafuta mtu anaeweza kutumia software hizo ili nimwajiri..
Kazi iko Arusha.
Akiwa mtu wa nje ya Arusha nitapenda sana awe hana familiar.. Yaani hajaoa wala kuolewa.
Mshahara ni kati ya 500,000/-700,000/ itategemea na uzoefu wake na bidii ktk majukumu atakayopewa.

Karibu!
mkuu cheki PM
 
Ninatafuta mtu anaeweza kutumia software hizo ili nimwajiri..
Kazi iko Arusha.
Akiwa mtu wa nje ya Arusha nitapenda sana awe hana familiar.. Yaani hajaoa wala kuolewa.
Mshahara ni kati ya 500,000/-700,000/ itategemea na uzoefu wake na bidii ktk majukumu atakayopewa.

Karibu!
Mbona hujatoa mawasiliano watu wakitaka kukupata, wanafanyaje sasa. Alafu mbona PM hujibu
 
Kuoa au kuolewa kuna uhusiano gani na hii kazi?
 
Nenda ardhi university kitengo cha kompyuta wako wataalam kibao watakusaidia

Sent from my TECNO-W5 using JamiiForums mobile app
 
Back
Top Bottom