Natafuta mume

Natafuta mume

Este18

Member
Joined
Jun 25, 2025
Posts
9
Reaction score
25
Hello
Mwenzenu upweke utaniuaNatafuta mwanaume ambae tutenda nae kwenye mahusiano na tukiridhiana tuje kuwa mke na mume.
Sifa zangu;
Umri -37yrs
Mtoto mmoja
Mjasiliamali
Mkristo- KKKT

Sifa za mume:
Umri 37yrs na kuendelea
Mkristo
Mwenye hofu ya Mungu
Mwenye upendo wa dhati
Mwenye kipato cha kutosha kuhudumia familia

Nb. Akiwa Dar itapendeza zaidi

Naimani nitampata humu ndani karibuni sana
 
Kila la heri dada, Mungu akujalie haja ya moyo wako.

Achana na hao vijana wanao-comment isivyofaa hapo juu.

Wanaume walioko mitaani ndiyo haohao walioko humu, hivyo utapata mwenye uhitaji sawa na wako.
 
Hello
Mwenzenu upweke utaniuaNatafuta mwanaume ambae tutenda nae kwenye mahusiano na tukiridhiana tuje kuwa mke na mume.
Sifa zangu;
Umri -37yrs
Mtoto mmoja
Mjasiliamali
Mkristo- KKKT

Sifa za mume:
Umri 37yrs na kuendelea
Mkristo
Mwenye hofu ya Mungu
Mwenye upendo wa dhati
Mwenye kipato cha kutosha kuhudumia familia

Nb. Akiwa Dar itapendeza zaidi

Naimani nitampata humu ndani karibuni sana
Nakutakia kila la kheri, ufunguliwe neema na umpate mwenza wako wa kuzeeka naye.

Achana na wajuaji wa JF wanaokubeza, wengi wao wameshashindikana tabia.
 
Wanawake bhana,

Kuna mda hamuelewi mnataka nn

Yaani Wewe ndo mwenye shida,

unalalamika upweke unakutesa sana,

Afu Bado unaweka shart la "kipato Cha kutosha kuhudumia familia"

Nilitarajia sharti la "kampani" na "muda Kwa ajili Yako" ndo vingekua kipaumbele
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom