Utanijua
JF-Expert Member
- May 4, 2011
- 225
- 136
mbona mtaani kwetu kila demu ukimgusa anakwambia ana mtu wake
nyie mnatoka wapi nyie???
Hahahahaaaa
mbona mtaani kwetu kila demu ukimgusa anakwambia ana mtu wake
nyie mnatoka wapi nyie???
yashakutokea nn mkuuHahahahaaaa
Duh! Kazi tena!!?Naomba kujua kazi yako kwanza.
Maisha ni poppote and age is just a numbers.Upo mkoa gani na una umri gani?
Inamaana unataka mume leo leo?Jaman bado nawasubiria huku pm
Hurry up
Mbona tumekuja lakin unaleta utani wakoJaman bado nawasubiria huku pm
Hurry up
Ngoja nije pm maana me mwenyewe natafuta mkeHabari za week end Wana jf?
Mm binafsi niko salama namshukuru
Mwenyezmungu? Naomba Nitumie nafasi hii
Adhiim ya jf kujitafutia mme..
Mwenye Nia ya dhati anipm,
Am serious jamani
Utani tuweke pemben kdg!!
Haswaaa... isije ikawa anatafuta waku save 2m per monthMatangazo mengi ya aina hiyo mkuu humu yana vigezo,mara kipato sasa siye tunaounga unga maisha lazima tujue kwanza tusije kuchambwa huko PM
Tunakuja mama...Jaman bado nawasubiria huku pm
Hurry up
Waooh! Wish you nice journeyHabari za week end Wana jf?
Mm binafsi niko salama namshukuru
Mwenyezmungu? Naomba Nitumie nafasi hii
Adhiim ya jf kujitafutia mme..
Mwenye Nia ya dhati anipm,
Am serious jamani
Utani tuweke pemben kdg!!
Bibie wa unaye?Mungu akupe hitaji la moyo wako