Shadeeya
JF-Expert Member
- Mar 12, 2014
- 48,320
- 115,315
Hahaa! Ya nani tena?Ulizama inbobo
Hahaa! Ya nani tena?Ulizama inbobo
Kwan hapa c unaongea na mm jaman au??Hahaa! Ya nani tena?
Hahaaa! Nshasahau tena. Nitafutie basi.Kwan hapa c unaongea na mm jaman au??
Ha ha ha kisa nn ameshakua kaka yako nin?Hahahaaa! Nionavyo yule anafaa kwenda naye kule kwenye yale maombi ya mlimani pekee
Ndio japokuwa nashangaa ukaka hautakiHa ha ha kisa nn ameshakua kaka yako nin?
Hata mie nisingekubal aisee mbio zote zile niishie kuitwa kaka SITAKI SITAKI SITAKINdio japokuwa nashangaa ukaka hautaki
Haha ha ha ha mzee naona unakimbia comitment enhee? mambo ya kuwa mcheouko tena?
Uuwii! Inabidi tu akubali kuitwa kaka kuliko kuwa mchepukoHata mie nisingekubal aisee mbio zote zile niishie kuitwa kaka SITAKI SITAKI SITAKI
Akaa! Nataka wapi kuwa mchepuko?
Weka na Picha kabisa tuione.Matangazo mengi ya aina hiyo mkuu humu yana vigezo,mara kipato sasa siye tunaounga unga maisha lazima tujue kwanza tusije kuchambwa huko PM
Muda ule nimekuita kule ukajikausha kama sio wewe. Ungekuwa umeshapata jibuAhaaa, sasa nimeelewa kwa nini unaniita kaka.
Itabidi turudia upya kuliangalia lile swala.
Kaka na mchepuko bora mchepuko una afadhal pia unakua na access na baadhi ya vitu ukiwa kaka unapita flat kabisaaaUuwii! Inabidi tu akubali kuitwa kaka kuliko kuwa mchepuko