Natafuta mume

Natafuta mume

33390d40fc326b64ef5d9a7d12b1023b.jpg
 
Kile kimino unachopendaga ndie aliyeninunulia
Upole wangu simanzi Eeeh!

Kwangu kupenda maradhi iiih!
Lakini kupendwaga mi nae bahati huwaga sina...

jichoni kwangu kibanzi Eeeeh!
ninakapenda kamanzi Iiih! Oooh Licha ya kumthamini kama shilingi tatizo hata
raha sina....
Ufinyu wa mboni zangu, unatazama mengi
yanayonipa mateso,
Ukweli hatakupenda sina raha! ona nakonda kwa
mawazo. Masikini penzi langu jina lishakatwa na kauli roho
inatoka kesho
Kutwa nzima mara Eeeh! Mara Iiiiii! Hata najuta
kupenda....
 
Upole wangu simanzi Eeeh!

Kwangu kupenda maradhi iiih!
Lakini kupendwaga mi nae bahati huwaga sina...

jichoni kwangu kibanzi Eeeeh!
ninakapenda kamanzi Iiih! Oooh Licha ya kumthamini kama shilingi tatizo hata
raha sina....
Ufinyu wa mboni zangu, unatazama mengi
yanayonipa mateso,
Ukweli hatakupenda sina raha! ona nakonda kwa
mawazo. Masikini penzi langu jina lishakatwa na kauli roho
inatoka kesho
Kutwa nzima mara Eeeh! Mara Iiiiii! Hata najuta
kupenda....
Bby aman y all dis
 
Habari,

Mim ni msichana 31 natafuta mume wa kunioa. Nimeokoka na mpenda Yesu, sina mtoto nina elimu ya chuo kikuu ila nimejiajiri mwenyewe nafanya biashara.

Sifa za mume awe na hofu ya Mungu na kuishi katika njia zimpendazo Mungu, awe amejiajiri au anafanya kazi.

Karibu pm kwa maelezo zaidi.
Nicheki nipo hapo
 
Habari,

Mim ni msichana 31 natafuta mume wa kunioa. Nimeokoka na mpenda Yesu, sina mtoto nina elimu ya chuo kikuu ila nimejiajiri mwenyewe nafanya biashara.

Sifa za mume awe na hofu ya Mungu na kuishi katika njia zimpendazo Mungu, awe amejiajiri au anafanya kazi.

Karibu pm kwa maelezo zaidi.
Ukimwambia mchungaji wako anaweza kuunganisha na braza kanisani!
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom