Jerrymsigwa
JF-Expert Member
- Jun 23, 2012
- 14,084
- 8,400
Aisee Afadhali umetambua ridhiki ni mafungu naneNimeamua kumwachia Mungu...
Na weye umechoka upweke?? Okay funguka unataka vigezo ganinatafuta na mie
Mhhh jaman unaniangushando nn maana yake ujue sijuwagi ila asprin ndo kanifungua hapo
Upole wangu simanzi Eeeh!Kile kimino unachopendaga ndie aliyeninunulia
Bby aman y all disUpole wangu simanzi Eeeh!
Kwangu kupenda maradhi iiih!
Lakini kupendwaga mi nae bahati huwaga sina...
jichoni kwangu kibanzi Eeeeh!
ninakapenda kamanzi Iiih! Oooh Licha ya kumthamini kama shilingi tatizo hata
raha sina....
Ufinyu wa mboni zangu, unatazama mengi
yanayonipa mateso,
Ukweli hatakupenda sina raha! ona nakonda kwa
mawazo. Masikini penzi langu jina lishakatwa na kauli roho
inatoka kesho
Kutwa nzima mara Eeeh! Mara Iiiiii! Hata najuta
kupenda....
.....Bby aman y all dis
I wanted to say jaman*.....
Usichana sio umri ninyi washamba wa lugha na makuzi. MTU aweza kuwa na miaka 15 akawa ni mwanamke na si msichana na mtu anaweza kuwa na miaka 35 akawa bado ni msichana.Miaka 31 bado ni msichana?
Nicheki nipo hapoHabari,
Mim ni msichana 31 natafuta mume wa kunioa. Nimeokoka na mpenda Yesu, sina mtoto nina elimu ya chuo kikuu ila nimejiajiri mwenyewe nafanya biashara.
Sifa za mume awe na hofu ya Mungu na kuishi katika njia zimpendazo Mungu, awe amejiajiri au anafanya kazi.
Karibu pm kwa maelezo zaidi.
Ukimwambia mchungaji wako anaweza kuunganisha na braza kanisani!Habari,
Mim ni msichana 31 natafuta mume wa kunioa. Nimeokoka na mpenda Yesu, sina mtoto nina elimu ya chuo kikuu ila nimejiajiri mwenyewe nafanya biashara.
Sifa za mume awe na hofu ya Mungu na kuishi katika njia zimpendazo Mungu, awe amejiajiri au anafanya kazi.
Karibu pm kwa maelezo zaidi.