KING MIDAS
JF-Expert Member
- Dec 1, 2010
- 10,569
- 21,075
Babu umezeeka kwa kweli.Mungu na afanikishe hitaji la moyo wako. Mwamini atakutimizia.
Nimeona ile anniversary nikasema kweli babu yangu umetepeta
Babu umezeeka kwa kweli.Mungu na afanikishe hitaji la moyo wako. Mwamini atakutimizia.
Mrekebishe, alitakiwa kusemaje? ukizingatia dhana nzima ya yeye kuweka bandiko lake jf~itawasaidia wengi mkuu. By the way, habari ya siku nyingiMiaka 31 bado ni msichana?
Nimesoma vizuri nikaelewa au nipo ndotoni?Hebu njooni huku mnisaidie Valentina na @atoto.Huyu mzee yuko sawa kweli au maskini ya Mungu anaumwaMungu na afanikishe hitaji la moyo wako. Mwamini atakutimizia.

Uko sawa babu yangu?Au kuna mtu alikuwa anatumia simu yako?Umbea hauna posho...
Umbea hauna posho...Uko sawa babu yangu?Au kuna mtu alikuwa anatumia simu yako?
una uhakika usemacho?hahahahahhahaha kweli hv huko mtaani umekosa kabisa.
am sorry kama nitakukwaza ila hapa watakudanganya aisee.
all the best
My observation only and I stand correcteduna uhakika usemacho?
Upo tayari kuolewa na mwanaume mwenye umri wa chini yako ila mwenye sifa tajwa?Ameen
Kuolewa nako kumekuwa kugumu kama ajira za TanzaniaMungu akutangulie ingawa cku hizi Imekuwa vigumu Sana kuolewa
Kwa sasa kuona kumesitishwa hadi uhakiki wa ndoa zilizopo ufanyike.Habari,
Mim ni msichana 31 natafuta mume wa kunioa. Nimeokoka na mpenda Yesu, sina mtoto nina elimu ya chuo kikuu ila nimejiajiri mwenyewe nafanya biashara.
Sifa za mume awe na hofu ya Mungu na kuishi katika njia zimpendazo Mungu, awe amejiajiri au anafanya kazi.
Karibu pm kwa maelezo zaidi.