Natafuta mume

Natafuta mume

Habari,

Mim ni msichana 31 natafuta mume wa kunioa. Nimeokoka na mpenda Yesu, sina mtoto nina elimu ya chuo kikuu ila nimejiajiri mwenyewe nafanya biashara.

Sifa za mume awe na hofu ya Mungu na kuishi katika njia zimpendazo Mungu, awe amejiajiri au anafanya kazi.

Karibu pm kwa maelezo zaidi.


pic plz
 
Walio okoka huwa hawatafutagi wenzi wa maisha yao kwenye mitandao ya kijamii! Utakuja kuolewa na jini!!!!
Huku ndipo tulipotoka... unaonyeshwa picha unaenda nyumbani kwao binti anaitwa unacomfirm baada ya hapo ndoano.
 
Habari,

Mim ni msichana 31 natafuta mume wa kunioa. Nimeokoka na mpenda Yesu, sina mtoto nina elimu ya chuo kikuu ila nimejiajiri mwenyewe nafanya biashara.

Sifa za mume awe na hofu ya Mungu na kuishi katika njia zimpendazo Mungu, awe amejiajiri au anafanya kazi.

Karibu pm kwa maelezo zaidi.
Hongera Dada naomba uje pm
 
Usiogope mrembo Mungu amejibu maombi yako ...vigezo vyote ninavyo na kwa kudhibitisha zaid cheki avatar yangu apo. Ameen
 
a6e9f42801c499a1f5ee038c82b0bb1a.jpg
 
All the best darling
Hope na kamati ya harusi itatoka humu ndani
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom