Malyenge
JF-Expert Member
- Jan 16, 2012
- 6,658
- 3,662
Sasa kama unampenda Yesu kwanini unataka kuolewa na mwanaume binadamu? Yesu atosha!!!Habari,
Mim ni msichana 31 natafuta mume wa kunioa. Nimeokoka na mpenda Yesu, sina mtoto nina elimu ya chuo kikuu ila nimejiajiri mwenyewe nafanya biashara.
Sifa za mume awe na hofu ya Mungu na kuishi katika njia zimpendazo Mungu, awe amejiajiri au anafanya kazi.
Karibu pm kwa maelezo zaidi.