sukari tamu
Member
- Nov 11, 2016
- 10
- 1
Kwani mwanamke apendi!! tafuta mwaya tena njoo kwangu
Wala c kweli kuwa wanaume/vijana wa kiume .... wanawake/vijana wa kike wote wapatikanao ktk nyumba za ibada ni wenye HOFU YA MUNGU ...MTU wa baa ataoa baa medy msanii ataoa msanii mwenzake na Mtumishi wa Mungu ataoa Mtumishi wa MUNGU.....kwa kuwa umemtanguliza MUNGU nikuulize je MUNGU amekuambia kuwa mume wako utampata hapaJF au utampata kwa njia hii ya matangazo. Shika hii itakusaidia MUNGU alisema nitamfanyia msaidiz anayefanana naye....hivyo huku kufanana sio kimaumbile tu kama kuwa na miguu kichwa no nono Bali hata kitabia hivyo ukiwa na Tabia za kuwa na hofu na MUNGU na kumcha basi ujue mumeo utamuona kanisani au ukiwa na Tabia ya uongo basi huko ndiko utamuona mumeo na kama unatabia ya kunywa basi kamsubiri mumeo baaa kinyume cha hapa mpka MUNGU aseme na we we mazingira gani mumeo utamuona. Hivyo kabla hujachukua hatua hii UWE na UHAKIKA kuwa MUNGU amekueleza uchukue hatua hii kinyume cha hapa jichunge usije ukajuta na hamu ya kuolewa ikafa
I like gospel music
I like gospel music
Tuwasiliane 0876227221
Mtazamo HASI .... pana mila na desturi tulizobeba na zimekuwa mzigo mzito twapaswa tuzitue mana hazina nafasiMwanamke lin akatafuta mme!?
Kuanzia umri gani matakwa yako?Habari,
Mim ni msichana 31 natafuta mume wa kunioa. Nimeokoka na mpenda Yesu, sina mtoto nina elimu ya chuo kikuu ila nimejiajiri mwenyewe nafanya biashara.
Sifa za mume awe na hofu ya Mungu na kuishi katika njia zimpendazo Mungu, awe amejiajiri au anafanya kazi.
Karibu pm kwa maelezo zaidi.
haya makanisa mengi ya kilokole hakuna wanaume wenye kazi za maana. sasa na wanawake wengi wanataka kitonga wanawaona waumini wenzao kama chokaYaani umekosa wanaume wote hao waliopo kanisani kwenu uko kweli? ?
hahahahahhahaha kweli hv huko mtaani umekosa kabisa.
am sorry kama nitakukwaza ila hapa watakudanganya aisee.
all the best[/QUOTE MIMI vigezo vyote ninavyo njoo inbox
Walio okoka huwa hawatafutagi wenzi wa maisha yao kwenye mitandao ya kijamii! Utakuja kuolewa na jini!!!!Habari,
Mim ni msichana 31 natafuta mume wa kunioa. Nimeokoka na mpenda Yesu, sina mtoto nina elimu ya chuo kikuu ila nimejiajiri mwenyewe nafanya biashara.
Sifa za mume awe na hofu ya Mungu na kuishi katika njia zimpendazo Mungu, awe amejiajiri au anafanya kazi.
Karibu pm kwa maelezo zaidi.
Naanza kwa kutoa hongera kwa mtoa post "You're so courageous" .... remain firm and adhere to whatever you believe, if your belief is sincere .....Habari,
Mim ni msichana 31 natafuta mume wa kunioa. Nimeokoka na mpenda Yesu, sina mtoto nina elimu ya chuo kikuu ila nimejiajiri mwenyewe nafanya biashara.
Sifa za mume awe na hofu ya Mungu na kuishi katika njia zimpendazo Mungu, awe amejiajiri au anafanya kazi.
Karibu pm kwa maelezo zaidi.
wacha kumchuria mwenzio.....hhhahahaaaaahahahahahhahaha kweli hv huko mtaani umekosa kabisa.
am sorry kama nitakukwaza ila hapa watakudanganya aisee.
all the best
Tenaaaaa sawa bhanawacha kumchuria mwenzio.....hhhahahaaaaa
poleTenaaaaa sawa bhana