huku JF unatafuta MACHOZI wewe!Habari,
Mim ni msichana 31 natafuta mume wa kunioa. Nimeokoka na mpenda Yesu, sina mtoto nina elimu ya chuo kikuu ila nimejiajiri mwenyewe nafanya biashara.
Sifa za mume awe na hofu ya Mungu na kuishi katika njia zimpendazo Mungu, awe amejiajiri au anafanya kazi.
Karibu pm kwa maelezo zaidi.
kamwe ucje jikuta wapata pressure tokana na mawazo ama mtazamo wa mtu mwngine ...... remain firm and do whatever you think is right .... hata kama utaonekana uko pekeako simama imara mana wanadamu si wema ...... wengi wetu hatuna UTU na ni wakatishaji tamaa wa wenzetukama miaka 31 mzee...
sijui Rebeca nitakua nani?kiajuza lol
all the best mdada,
ikifika zamu yangu nitatafuta,
tena humu humu hahahahahhaha
Habari,
Mim ni msichana 31 natafuta mume wa kunioa. Nimeokoka na mpenda Yesu, sina mtoto nina elimu ya chuo kikuu ila nimejiajiri mwenyewe nafanya biashara.
Sifa za mume awe na hofu ya Mungu na kuishi katika njia zimpendazo Mungu, awe amejiajiri au anafanya kazi.
Karibu pm kwa maelezo zaidi.
Wakati mwingine ni vyema kuonyesha MATURITY yako katika kile unachokiwaza ama kukitoa katika "jukwaa" kama hili ....kwaiyo huko kwenu wanawake wenye 31 bado mnawaweka kwenye rika la wasichana?
Umepata tayari mume?Habari,
Mim ni msichana 31 natafuta mume wa kunioa. Nimeokoka na mpenda Yesu, sina mtoto nina elimu ya chuo kikuu ila nimejiajiri mwenyewe nafanya biashara.
Sifa za mume awe na hofu ya Mungu na kuishi katika njia zimpendazo Mungu, awe amejiajiri au anafanya kazi.
Karibu pm kwa maelezo zaidi.
TUPIA PICHAHabari,
Mim ni msichana 31 natafuta mume wa kunioa. Nimeokoka na mpenda Yesu, sina mtoto nina elimu ya chuo kikuu ila nimejiajiri mwenyewe nafanya biashara.
Sifa za mume awe na hofu ya Mungu na kuishi katika njia zimpendazo Mungu, awe amejiajiri au anafanya kazi.
Karibu pm kwa maelezo zaidi.
Asante kwa hcho kijembe na hitimisho lako piaukiona unatoa maelezo mengi
kwenye swali linalohitaji majibu mafupi..!
hilo nalo ni tatizo..
am thru wit you..
Naanza kwa kutoa hongera kwa mtoa post "You're so courageous" .... remain firm and adhere to whatever you believe, if your belief is sincere .....
Na kwetu sisi wachangiaji .....
So many of the comments concerning the above Zilakina's post reveal how IMMATURE many of us are ......
Why don't we prove our MATURITY in both physically and mentally for whatever comes from our mind? ...
Miaka 31 ina tatizo gani? ...eti ni mzee ... are you thinking positively? ..... we're only thinking and uttering NONSENSE .... tutabadirika lini?
Ni imani yangu muhusika ametaja miaka yake ili afahamike ana umri gani sababu wengi wangehitaji kufahamu kama acngetaja .....
But to my surprise the age of hers has now become an issue ..... tangu lini miaka ya mtu ikawa kigezo/kipimo cha MATURITY yake? ....
Je Maisha yetu ya kimahusiano yahitaji UMRI wa mwenzi wako ama MATURITY ya wahusika na jinsi ambavyo pana MUTUAL UNDERSTANDING kati yao?
Kwangu UMRI si kigezo .... but simaanishi kila msichana/mvulana hata alo chini ya ADULT AGE anaweza kuwa PARTNER ... La hasha ......
Adult age yajulikana kisheria .... yeyote ktk umri huo apimwe MATURITY yake na kama anakidhi apewe nafasi ....
Note: .... Very important of all let's forget not about FEARING THE ALMIGHTY GOD .... here is where our TRUE BLESSINGS comes from ....

you're welcome lady e