Natafuta mume wa kunioa

Kwa uandishi huu inaonekana wazi yaliyotokea yalikuwa nje ya uwezo wako wa kuyadhibiti na unajutia wakati.

Naamini atakuja mtakayeelewana na kujenga familia bora.
 
Inavyoonekana ulimsaliti baba mtoto ndiyo sababu ameshindwa kusamehe na ndiyo maana unataka mwanaume mwenye kusamehe.Ila nikupe tu angalizo kuwa kumpata mwanaume anayeweza kukusamehe kwa usaliti tena kabla ya ndoa ni nadra sana.
 
Mungu akajibu haja ya moyo wako, akakupe yule akufaaye kwenye dhiki na raha.

Akawe faraja kwako, akakupende , akuheshimu na kukuthamini.

Ila kiukweli, sisi wanywaji tuna upendo Sana, hebu badilisha kidogo hiyo PGO yako
hahahhahahahah mzee wa PGO
 
Mungu akajibu haja ya moyo wako, akakupe yule akufaaye kwenye dhiki na raha.

Akawe faraja kwako, akakupende , akuheshimu na kukuthamini.

Ila kiukweli, sisi wanywaji tuna upendo Sana, hebu badilisha kidogo hiyo PGO yako
N kweli wanywaji na wavuta sigara wanacare hatari, ex wangu alikuwa balaa ila ndo hvyo. Teh teh ngoja alengeze vigezo
 
Mimi nina umri miaka 28 Nina elimu ya chuo kikuu pia nafanya kazi katik kampuni Fulani Dar Nina mtoto Mmoja kiukweli nahitaji mume wa kunioa naumia sana kuishi maisha ya usingle, nipo serious na maisha kwasababu nimepitia vingi na kujifunza mengi. Nahitaji mtu pia aliye serious katik kutafuta maisha na kujenga familia iliyo bora.

Sifa
Asiwe mlevi Wala mvuta sigara
Wenye hofu ya Mungu
Wenye upendo heshima na apende ndugu zake na wangu
Mpambanaji mpenda maendeleo na ushirikiano
Akiwa na mtoto au watoto sawa Mimi ni mama napenda watoto, watoto ni Baraka.
Wenye kusamehe muelewa pia

Nikimpata naahidi kumpenda na kumuheshimu kiufupi ata enjoy tutajenga familia iliyobora
KANISANI AU MSKITINI HAZIPITI HTA SKU TATU UNAPATA MUME..
 
Mimi nina umri miaka 28 Nina elimu ya chuo kikuu pia nafanya kazi katik kampuni Fulani Dar Nina mtoto Mmoja kiukweli nahitaji mume wa kunioa naumia sana kuishi maisha ya usingle, nipo serious na maisha kwasababu nimepitia vingi na kujifunza mengi. Nahitaji mtu pia aliye serious katik kutafuta maisha na kujenga familia iliyo bora.

Sifa
Asiwe mlevi Wala mvuta sigara
Wenye hofu ya Mungu
Wenye upendo heshima na apende ndugu zake na wangu
Mpambanaji mpenda maendeleo na ushirikiano
Akiwa na mtoto au watoto sawa Mimi ni mama napenda watoto, watoto ni Baraka.
Wenye kusamehe muelewa pia

Nikimpata naahidi kumpenda na kumuheshimu kiufupi ata enjoy tutajenga familia iliyobora
Mbona haujanicheki na nimekupa namba
 
Huweleweki Mbona 2020 ulikua na miaka 26.
2021 unamiaka 28
Screenshot_20210923-140749.jpg


Sent from my TECNO-W5 using JamiiForums mobile app

Hapa unasema Wewe sio mwanamke


View attachment 1949466
 
Mimi nina umri miaka 28 Nina elimu ya chuo kikuu pia nafanya kazi katik kampuni Fulani Dar Nina mtoto Mmoja kiukweli nahitaji mume wa kunioa naumia sana kuishi maisha ya usingle, nipo serious na maisha kwasababu nimepitia vingi na kujifunza mengi. Nahitaji mtu pia aliye serious katik kutafuta maisha na kujenga familia iliyo bora.

Sifa
Asiwe mlevi Wala mvuta sigara
Wenye hofu ya Mungu
Wenye upendo heshima na apende ndugu zake na wangu
Mpambanaji mpenda maendeleo na ushirikiano
Akiwa na mtoto au watoto sawa Mimi ni mama napenda watoto, watoto ni Baraka.
Wenye kusamehe muelewa pia

Nikimpata naahidi kumpenda na kumuheshimu kiufupi ata enjoy tutajenga familia iliyobora
Nipo hapa nakusubiri future wife
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom