Dan Zwangendaba
JF-Expert Member
- Apr 25, 2014
- 5,463
- 7,405
TakbiirAaaaamin ila pombe hapana
Wanaume wanywa pombe Sio watunzaji wa familia
TakbiirAaaaamin ila pombe hapana
Wanaume wanywa pombe Sio watunzaji wa familia
Naomba ni pm mrembo tuonge,ikiwa kweli unaitaji kupendwa.Mimi nina umri miaka 28 Nina elimu ya chuo kikuu pia nafanya kazi katik kampuni Fulani Dar Nina mtoto Mmoja kiukweli nahitaji mume wa kunioa naumia sana kuishi maisha ya usingle, nipo serious na maisha kwasababu nimepitia vingi na kujifunza mengi. Nahitaji mtu pia aliye serious katik kutafuta maisha na kujenga familia iliyo bora.
Sifa
Asiwe mlevi Wala mvuta sigara
Wenye hofu ya Mungu
Wenye upendo heshima na apende ndugu zake na wangu
Mpambanaji mpenda maendeleo na ushirikiano
Akiwa na mtoto au watoto sawa Mimi ni mama napenda watoto, watoto ni Baraka.
Wenye kusamehe muelewa pia
Nikimpata naahidi kumpenda na kumuheshimu kiufupi ata enjoy tutajenga familia iliyobora
Na ndipo huwa wanakosa waume.Hivi duniani kuna mume bora asiyekula bia?Mungu akajibu haja ya moyo wako, akakupe yule akufaaye kwenye dhiki na raha.
Akawe faraja kwako, akakupende , akuheshimu na kukuthamini.
Ila kiukweli, sisi wanywaji tuna upendo Sana, hebu badilisha kidogo hiyo PGO yako
Nipm kama hutojalPicha basi sweetiii
Yawezekana wapo lakini muoaji atathibitishaji hili?Kuna wanawake wakiachana na mwanaume hata kama kazaa naye wanaacha moja kwa moja hawarudi nyuma.
Tatizo watu mnakakiriri.
Eh?Ni vigumu sana mwanamke kumkatalia mzazi mwenzie.
Well said MsYupo kaoa ana maisha yake
Hizo ni imani potofu mlizojiweka katik kudharau wanawake tu waliozaa hata ambao awajazaa mbona wanaendelea kupasha viporo na wapenz Wao wazamani
Mm Sio type hiyo ya kupashan viporo nimemove on na nilikosea kwenda tu siwez kukosea kurudi sawa ndugu
Na heri Mimi niliyezaa kuliko aliyetoa mimba hata tano watoto ni Baraka
Hilo swali muulize In box, hata ningekua mimi nisingekujibu hapa.Samahani, naomba kufahamu kuhusu baba wa huyo mtoto ulie nae. Yupo wapi? Mnawasiliana vipi? Anamuhudumia mwanae?
Jiunge na ala za roho ya mojayMimi nina umri miaka 28 Nina elimu ya chuo kikuu pia nafanya kazi katik kampuni Fulani Dar Nina mtoto Mmoja kiukweli nahitaji mume wa kunioa naumia sana kuishi maisha ya usingle, nipo serious na maisha kwasababu nimepitia vingi na kujifunza mengi. Nahitaji mtu pia aliye serious katik kutafuta maisha na kujenga familia iliyo bora.
Sifa
Asiwe mlevi Wala mvuta sigara
Wenye hofu ya Mungu
Wenye upendo heshima na apende ndugu zake na wangu
Mpambanaji mpenda maendeleo na ushirikiano
Akiwa na mtoto au watoto sawa Mimi ni mama napenda watoto, watoto ni Baraka.
Wenye kusamehe muelewa pia
Nikimpata naahidi kumpenda na kumuheshimu kiufupi ata enjoy tutajenga familia iliyobora
Hiyo hatua uliyopo inaitwa stage 3 of woman life a.k.a Rose heartMimi nina umri miaka 28 Nina elimu ya chuo kikuu pia nafanya kazi katik kampuni Fulani Dar Nina mtoto Mmoja kiukweli nahitaji mume wa kunioa naumia sana kuishi maisha ya usingle, nipo serious na maisha kwasababu nimepitia vingi na kujifunza mengi. Nahitaji mtu pia aliye serious katik kutafuta maisha na kujenga familia iliyo bora.
Sifa
Asiwe mlevi Wala mvuta sigara
Wenye hofu ya Mungu
Wenye upendo heshima na apende ndugu zake na wangu
Mpambanaji mpenda maendeleo na ushirikiano
Akiwa na mtoto au watoto sawa Mimi ni mama napenda watoto, watoto ni Baraka.
Wenye kusamehe muelewa pia
Nikimpata naahidi kumpenda na kumuheshimu kiufupi ata enjoy tutajenga familia iliyobora