makaveli10
JF-Expert Member
- Mar 27, 2013
- 28,082
- 80,876
Inawezekana baba mtoto ndio akawa kivuruge, kiborodinda, mpigaji, ana gubu.. N.k au dada kaingia cha kike, mshikaji si muoaji ni mmegaji tu.Kama umetaja sifa zotee hizii ina maanisha na wewe unazo.
Sasa ilikuaje ukawa na sifa zote hizi na baba mtoto akasepa?
Hivi na yuko wapi?
#YNWA