micharazo09
Member
- Aug 29, 2015
- 62
- 8
njoo nikuoe na mimba juu
pm our number
Alafu futa hii thread
Nimeweka email address kwenye thread, nitatoa namba later kwa ambaye tutakubaliana. So mean time tuwasiliane kwa email hiyo.
Mtaani kwenu kote hujaona wakukufaa mpaka uje uhangaike na mizimu ya Jf
30yrs!;Wewe ushazeeka tayari.Uliibania mno;Halafu hiyo ya kubagua dini ndio kabisaaa ishakukosesha Mme coz mwanamke hana dini ni wa wote.
Mkeo anatokea mtaani kwenu pia?? Acha dharau mbululaz wewe. Mbona kajielezea vizuri tu
Uelewa wako wa mtaa ndio umeishia hapo ,?? Ndio mke wangu anatokea mtaani kwetu
Sasa unataka kila mtu aolewe na mtu wa mtaani tu kwani kutafuta kwenye mitandao haifai?
Habari za humu wapendwa.
Ni mwanamke mwenye 30yrs, nina degree ya kwanza na nimeajiriwa naishi dsm, mwili size ya kati. Natafuta mwanaume ambaye M'Mungu akijaalia awe mume wangu.
Sifa za mwanaume:-
1. Awe Muislam, mwenye hofu ya Mungu
2. Kabila lolote
3. Mwenye kujitambua na aliye tayari kusettle na kujenga maisha pamoja
4. Mwenye kujua thamani ya mwanamke, na mwenye heshima kwa wanawake
5. Awe anajishughulisha kujiingizia kipato
6. Umri 30-40
NB: nipo serious kwa aliye tayari pls pm me for other details including my history, naomba jokes pembeni guys maana mnaweza kunikatisha tamaa pls.
Alive tayari tuwasiliane kwa mndele85@gmail.com
every conversation will b strictly confidential.
Asanteni.
Nami tataizo lng ni kama lako.nimeabdika thead few minutes natumai.tutawiana Inshallahhh
30yrs!;Wewe ushazeeka tayari.Uliibania mno;Halafu hiyo ya kubagua dini ndio kabisaaa ishakukosesha Mme coz mwanamke hana dini ni wa wote.