Natafuta mume mtarajiwa!

Natafuta mume mtarajiwa!

Nakutakia kila la heri mdada,nilianzisha uzi mwaka jana dec wapumbavu wengi wakaniponda na maneno ya kejeli ila sikuwatilia maanani na nilifanikiwa.Maisha yanawasumbua wanamalizia stress zao kwa wengine

Hongera best! Tatizo watu wengi wanakasumba kuwa mwanamke kutoa hisia zake ni malaya! Lakini tunaona ndoa nyingi za watu waliokuwa maclassmates/majirani/familyfriends n.k zikiwa jehanam ndogo huku wahusika wakibaki kusema ningejua....
 
Nakutakia kila la heri mdada,nilianzisha uzi mwaka jana dec wapumbavu wengi wakaniponda na maneno ya kejeli ila sikuwatilia maanani na nilifanikiwa.Maisha yanawasumbua wanamalizia stress zao kwa wengine

Kumbe ulifanikiwa! Kweli JF ni kila kitu! Hongera sana na nikutakie maisha yenye mafanikio katika nyumba beathahenry
 
Last edited by a moderator:

Similar Discussions

Back
Top Bottom