Natafuta mume asizidi miaka 40

Natafuta mume asizidi miaka 40

Mimi ni mama wa miaka 23
Niko Dodoma
Kazi mtumishi
Mrefu,mweupe sio mwembamba Wala sio mnene
Mume ninayehitaji asiwe mlevi sichagui dini Wala kabila
Ukweli mchungu ni kwamba wanaume hatuoi wake za watu (single maza) labda uwe mjane wa kueleweka ila kama unataka huduma tumia weupe wako vizuri utapata boya wa kumla hela zake mtoto akuekue ila siyo mume na ukikaa vibaya kwa umri huo utajikuta umezaa na wanaume tofauti tofauti na kubaki kuchekwa.

Nb. Wanaume tukiwa na kipururu njia nzuri ni kuchezea single maza kwa kigezo cha kuwaoa au kutoa chochote kitu kuwapunguzia ugumu wa maisha na siyo kuwaoa. Kuwa makini sana


UKIENDA UMASAINI NDANI NDANI NI RAHISI SANA KUOLEWA ILA UKIZINGUA NI HATARI SANA
 
Ukweli mchungu ni kwamba wanaume hatuoi wake za watu (single maza) labda uwe mjane wa kueleweka ila kama unataka huduma tumia weupe wako vizuri utapata boya wa kumla hela zake mtoto akuekue ila siyo mume na ukikaa vibaya kwa umri huo utajikuta umezaa na wanaume tofauti tofauti na kubaki kuchekwa.

Nb. Wanaume tukiwa na kipururu njia nzuri ni kuchezea single maza kwa kigezo cha kuwaoa au kutoa chochote kitu kuwapunguzia ugumu wa maisha na siyo kuwaoa. Kuwa makini sana


UKIENDA UMASAINI NDANI NDANI NI RAHISI SANA KUOLEWA ILA UKIZINGUA NI HATARI SANA
Kuna sehemu nimeandika kuwa Nina mtoto?soma vizuri wewe
 
Hizo nyuzi huwa nazisoma tu ila sizipi umakini...

Nikikumbuka 2017 mtu aliandika anatafuta MUME,nikajitutumua kumfata PM kumbe ni MWANAUME mwenzangu! naishiwa pozi..
 
Kwani aviola mshangazi😂😂
Now mi nakula mpaka wadada an waifu uwezi amini kuna katoto kanataka kunipereksha et anasema siwezi kumlomba mpaka ninunue either simu au tv....

Sasa leo nimekuja k,koo nimemwambia kuna zawadi yako ifate hom..

Ila kiufup zawadi zenyewe ni za kipumbavu ili achukue nu lazima achojoe lao atajuta ujinga ujinga wake wa kutaka vtu vya ajabu ajabu
 
Tukutane bambalaga tutajenge. Mi napenda mziki pombe situmii
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom