Mandingo
JF-Expert Member
- Sep 22, 2011
- 5,531
- 6,593
Sasa msiba na mbunye wapi na wapi Sheikh?Sisi tupo kwwnye msiba wewe unatafuta mume 🤨
Sasa msiba na mbunye wapi na wapi Sheikh?Sisi tupo kwwnye msiba wewe unatafuta mume 🤨
Waajiriwa tunajitambulisha vp mkuuJobless lazima ajitambulishe hivi
Ni msiba wa taifaSasa msiba na mbunye wapi na wapi Sheikh?View attachment 3434137
Eeeh teh tehee 😂🤣😂Mkuu usimlaumu jamaa alisema atamwagia nje utamu ukakolea!
Kazi yakoNiko hapa na 41
Msiba wa bibi yakoSisi tupo kwwnye msiba wewe unatafuta mume 🤨
😂Msiba wa bibi yako
Kwa comment hii umeshakosa mume 🤣Msiba wa bibi yako
Lucha naskia now umeacha kunywaMama Diwani vipi kuhusu Diwani ? au wajumbe wamepita nae nini?
Kipimo cha utu kipojeJibu ili swali
Je baba mtoto yupo HAI?
Una kadilia kua na kipato cha Bei gani kwa mwezi?
Mungu akupatie mtu w ndoto zako!!
Kazi ni kipimo cha utu
Mimi ni mama wa miaka 23
Niko Dodoma
Kazi mtumishi
Mrefu,mweupe sio mwembamba Wala sio mnene
Mume ninayehitaji asiwe mlevi sichagui dini Wala kabila
Piga reciprocal mkuu au hksoma math form two apo kamanisha ni 32Miaka 23 tayari ni mama!!,,
Nyie ndo mana kuna majukwaa mnapigwa marufuku alaaahAfu sijaelewa mtumishi ??
Mtumishi wa serikli au mtumishi wa Mungu😁