Natafuta mtu wa kufuga nae nguruwe

Natafuta mtu wa kufuga nae nguruwe

Old Member (Retired)

JF-Expert Member
Joined
Sep 29, 2012
Posts
3,401
Reaction score
1,618
Habari zenu wakuu,

Nina mpango wa kufuga nguruwe lakini nina changamoto moja kubwa ninayoipata hivyo nahitaji mtu wa kuingia nae ubia tufanye pamoja.

Vigezo:
i. Huyo mtu awe na eneo la kufugia
ii. Hilo eneo liwe pembezoni mwa jiji la Dar au mkoa wa Pwani au Morogoro

Yawezekana tayari umeshaanza kufuga unahitaji mtu wa kuongeza nae nguvu

Yawezekana hujaanza ila upo mbioni kuanza ningependa tushirikiane kwa kulingana na terms na conditions ambazo utaziweka na tukakubaliana.

Asanteni sana.
 
Kama upo sereous, nipo wilaya mpya ya kibiti pwani... Tuwasilane tufanye kazi...
 
Njoo Mbagala zckiem hapa wanapo uza nyama ya nguruwe utanikuta andaa pesa ya kilo 1 bia nitanunua mm
 
Habari zenu wakuu,

Nina mpango wa kufuga nguruwe lakini nina changamoto moja kubwa ninayoipata hivyo nahitaji mtu wa kuingia nae ubia tufanye pamoja.

Vigezo:
i. Huyo mtu awe na eneo la kufugia
ii. Hilo eneo liwe pembezoni mwa jiji la Dar au mkoa wa Pwani au Morogoro

Yawezekana tayari umeshaanza kufuga unahitaji mtu wa kuongeza nae nguvu

Yawezekana hujaanza ila upo mbioni kuanza ningependa tushirikiane kwa kulingana na terms na conditions ambazo utaziweka na tukakubaliana.

Asanteni sana.

Karibu nina eneo morogoro nje kidogo ya mji. Maji yapo
 
NAOMBENI MSAADA WA KUFUGA NGURUWE 500. Eneo kubwa kiasi gani NAHITAJI? Mabanda mangapi? Gharama ya chakula na Dawa.
 
Hilo ni bonge la dili;

Kama wote hapo juu watakuwa wasanii, nitafute tufuge samaki
 
  • Thanks
Reactions: SMU
Habari zenu wakuu,

Nina mpango wa kufuga nguruwe lakini nina changamoto moja kubwa ninayoipata hivyo nahitaji mtu wa kuingia nae ubia tufanye pamoja.

Vigezo:
i. Huyo mtu awe na eneo la kufugia
ii. Hilo eneo liwe pembezoni mwa jiji la Dar au mkoa wa Pwani au Morogoro

Yawezekana tayari umeshaanza kufuga unahitaji mtu wa kuongeza nae nguvu

Yawezekana hujaanza ila upo mbioni kuanza ningependa tushirikiane kwa kulingana na terms na conditions ambazo utaziweka na tukakubaliana.

Asanteni sana.

Check pm
 
Back
Top Bottom