Tate Mkuu
JF-Expert Member
- Jan 24, 2019
- 28,372
- 81,815
Shule za boarding za serikali ada ni elfu 70 tu. Kama umelipishwa laki na 20 au laki mbili, basi utambue fika hizo hela za ziada ni kwa ajili tu ya michango ya mahafari, na takataka nyingine.Hao wamekariri. Shule za kata wanalipia hasa zile za boarding pesa ni kuanzia laki na 20 na kuendelea. Hata hizi za day gharama ni nyingi sema haziitwi ada