Inachimbwa wapi na mimi nianze kuchimba?!Kwahiyo mkuu ukiuza yote una 44,000,000,000
Now washatoka huko kwenye monopoly buyer kila mtu anauza popote ambapo pana tija.
Una mteja?
Mie nimekwambia mzigo upo ww tafuta mteja aje aone mzigo tufanye biasharaMteja wa nini?
Mimi ninachosema hiyo Monopoy imetolewa lini maana kampuni ya AGK ndio yenye tenda ya Vannila kupeleka nje na hakuna kitu mwanachi wa kawaida anaweza fanya, ishu ya Vannila kule sio kitu cha mchezo.
Wewe ukisema una tani 40 zipo ndani lazima tupate mashaka kidogo.
Ninachofahamu mtu akijitahidi sana kununua kwa magendo hiyo Vannila hawezi kupata zaidi ya kilo 1 tena hapo ni kivumbi na jasho, ndo iwe tani 40!?
Mie nimekwambia mzigo upo ww tafuta mteja aje aone mzigo tufanye biashara