jembelamkono
JF-Expert Member
- Nov 19, 2015
- 2,733
- 2,016
Kwa hiyo kuanzia mimba mpaka mtoto atakapofikisha miaka 3 mama atavuna takribani mil 21,060,000/= kwa mchanganuo ufuatao,
Mimba.
miez 9 ×300,000=2,700,000/=
Makuzi.(miaka 3=miezi 36)
miez 36 ×510,000=18,360,000/=
Jumla kuu ,
Tsh 21,060,000/=.
Nguo,matibabu na dharura kubwa ni juu yake baba.
Wadada fursa hii.
Mimba.
miez 9 ×300,000=2,700,000/=
Makuzi.(miaka 3=miezi 36)
miez 36 ×510,000=18,360,000/=
Jumla kuu ,
Tsh 21,060,000/=.
Nguo,matibabu na dharura kubwa ni juu yake baba.
Wadada fursa hii.