Natafuta msichana wa kuzaa nae

Natafuta msichana wa kuzaa nae

yusuphmarcogaga

Senior Member
Joined
Jan 5, 2014
Posts
145
Reaction score
162
Natafuta msichana mrembo nitakaezaa nae mtoto mmoja ...... maslai ni kama ifwatavyo

1. Katika kipindi cha miezi tisa ya ujauzito nitamlipa sh 10000 kwa siku sawa na laki 300,000 kwa mwezi hadi atakapo jifungua

2. Baada ya kujifungua mtoto nitamlipa sh 17000 kwa siku sawa na sh laki 510, 000 kwa mwezi

3. Matibabu ya mtoto hayatahusiana na kiasi hicho cha fedha pamoja na mavazi kwa kwani nitagharamia mwenyewe kiasi hicho hasa kitahusu chakula cha mtoto na mahtaji madogo madogo

4. Mtoto atakaa kwa mama yake kwa miaka 3 tu na baada ya hapo nitamchukua na kuishi nae

5. Nitagharamia kumpangia chumba mama mtoto wangu kuanzia siku atakapojifungua mpaka pale nitakapochukua mtoto

6. Baada ya kumchukua mama wa mtoto ataruhusiwa kumtembelea na kumsalimia mwanae pindi akijisikia kufanya ivo lakini c kumchukua kwenda poppte

Kipaumbele kinatolewa kwa msichana ambae itakuwa ni mtoto wake wa kwanza kumzaa, lakini awe mrembo, ni dini yoyote, kabila yoyote
Note.

Sipo ama sitakuwa tayari kumuoa mama wa mtoto wangu.
Nitafute 0713332200
 
Kwakua umeleta hili tangazo katika jukwaa la ajira nachukulia kwamba umeamua kutoa ajira kwa mtu, ila mbona anaongezewa mshahara mara moja tu katika utendaji wake? Kisha atakaa miaka mitatu bila kuongezwa mshahara.
Sioni overtime, sioni marupu rupu mengine yanayohusiana na ajira.
 
Natafuta msichana mrembo nitakaezaa nae mtoto mmoja ...... maslai ni kama ifwatavyo

1. Katika kipindi cha miezi tisa ya ujauzito nitamlipa sh 10000 kwa siku sawa na laki 300,000 kwa mwezi hadi atakapo jifungua

2. Baada ya kujifungua mtoto nitamlipa sh 17000 kwa siku sawa na sh laki 510, 000 kwa mwezi

3. Matibabu ya mtoto hayatahusiana na kiasi hicho cha fedha pamoja na mavazi kwa kwani nitagharamia mwenyewe kiasi hicho hasa kitahusu chakula cha mtoto na mahtaji madogo madogo

4. Mtoto atakaa kwa mama yake kwa miaka 3 tu na baada ya hapo nitamchukua na kuishi nae

5. Nitagharamia kumpangia chumba mama mtoto wangu kuanzia siku atakapojifungua mpaka pale nitakapochukua mtoto

6. Baada ya kumchukua mama wa mtoto ataruhusiwa kumtembelea na kumsalimia mwanae pindi akijisikia kufanya ivo lakini c kumchukua kwenda poppte

Kipaumbele kinatolewa kwa msichana ambae itakuwa ni mtoto wake wa kwanza kumzaa, lakini awe mrembo, ni dini yoyote, kabila yoyote
Note.

Sipo ama sitakuwa tayari kumuoa mama wa mtoto wangu.
Nitafute 0713332200

Hayati Baba wa Taifa Mwalimu Nyerere alipoisema hii kauli kuwa ni " kheri uchi wa mnyama kuliko uchi wa akili " nilikuwa simwelewi ila sasa kwa kupitia huu uzi wako nadhani nimeshamwelewa Baba wa Taifa.
 
Kama taifa,tukubali kwamba tunapitia kipindi kigumu kilichojaa laana,na maafa ya kila aina na tuwe tayari kuyaona mambo mengi ya sampuli hii.
 
Wadada jitokezeni fursa adimu hii kuipata, ila ubaya ni pale jamaa atakapo kiuka makubaliano labda muandikishiane
 
mimi nipo tayari ila sitaki malipo yoyote nitaishi na mtoto mwenyewe
 
ushishangae Luna MTU at a pm akiwa na imani kuwa bsadae anaweza kumuoa?
 
kazi ipo hapo, mkuu kajipanga anataka mtoto

sasa sijui kama na yeye angepatikana kwa style iiyo angejisikiaje
 
Kwa vile umeianika hapa wengi watapinga na kuikosoa ila hayo ndiyo yanayoendelea mtaani japokuwa sijafanya utafit ila wengi wanaonizunguka sio wanawake wala wanaume ndoto zao ni kuwa na mtoto tu na sio kuwa na ndoa, sielew kwann?
 
jamani jamani jamani!!!!! kwa hali hiyo bora ukazae na mbuzi tu.
 
Hatari, kwahiyo akifika miaka mitatu hana maamuzi nae tena anakua wako peke yako??
 
Ukikaribisha single mothers pia uwezekano wa kufanikiwa utakuwa mkubwa, lakini kulenga wapya kabisa, wengi wanawaza ndoa.
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom